Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,304
- 29,841
Hili liwekwe tu wazi tusichekeane, hatutafanya uchaguzi 2025 kama hatujapata katiba Mpya hivyo hatutarajii kuona viongozi wasiochaguliwa na wananchi tuelewane hapo.
Patakuwa kivumbi na jasho, vuta nikuvute shati kuchanika hapigwi mtu hapaaa.
Tumechoka!
Patakuwa kivumbi na jasho, vuta nikuvute shati kuchanika hapigwi mtu hapaaa.
Tumechoka!