Hivi Bongo Tutafika HAPAAA

MaxShimba

JF-Expert Member
Apr 11, 2008
35,772
4,054
68356_382846218461341_651220633_n.jpg
 
itafika tu sababu hivi vitu vipo vimeisha undwa, utajiri wa mali asili ipo kasoro ni ubongo tu. siku hiyo tutakuwa watu bongo lakini sasa in mbuzi bongo !!
 
Hata MUNGU aliyeumba Dunia akiamua nchi zote ziwe sawa kiuchumu na tuanze sawa, baada muda kama kawa wa TZ tutabaki palepale.
 
Tukifikia hapo walioko watakuwa wanaishi kwenye sayari kama Mars na hata Pluto. Tunaweza kama tutaandaa mfumo unaojitegemea na kujiendesha badala ya huu wa kijambazi na kifisadi.
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom