kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 5,995
- 9,087
Steve Nyerere Mzee wa matukio
mi nawaaangalia tuuu sipendagi unafkiHivi huyu marehemu anahitaji faraja kwa kipindi akiwa marehemu kuliko kipindi kile alipokuwa na kesi mahakamani!? Mbona mimi binafsi sikuwahi kuwaona hao vilaza wanaojiita bongo movies wakimfariji kipindi akiwa na kesi!?
Leta Updates kinachojiri huko kwa kina AgeNimejiuliza sana,kuhusu Bongo muvi kuuvalia njuga msiba wa Agnes Nyie kama wakina nani? kwenye kesi yake mbona hamkuonekana hata? mnatoka na taarifa zinazotuchanganya mara mnasema kafa kwa homa ya matumbo na kupungukiwa damu leo mwingine anasema kafa kwa pumu...kila mtu anataka kuchukua ujiko kupitia kwa marehemu mara Irene Uwoya kasema hivi,mara Ka Steve Nyerere kanapanga ratiba ya msiba mara sijui Chopa anasema marehemu alimwambia maneno mawili kabla ya kukata roho WTF!! who are you people? Acheni mambo ya Kikanjunju....Familia ya Marehemu ipo waacheni wao ndio watoe na taarifa za msiba....Tangu lini Age alikuwa msanii wa filamu?
Mungu anisamehe jamani ila haka kamtu nakaona kama kanafiki sana..na mwenzake McPilipili.Steve Nyerere Mzee wa matukio
Nimekupenda bureBinafsi Sioni tatizo wao kuubeba msiba,Aggy Kafariki akiwa na Chopa Huenda ijakawa alikuwa na urafiki na watu wa bongo movie japokuwa hajaigiza movie yoyote
Isitoshe ni rafiki wa Karibu wa irine uwoya na wasanii Wengine wa movie
Nilivyosikia ndugu zake wako mbeya ,wao kama wamejitolea kusimamia safari yake ya Mwisho msiwaseme vibaya kwasababu hao bongoflava hajajitokeza hata mmoja Japo nimemuona dogo janja ila alikuwa pale kwaajili ya mkewe
Lakini mbona hawakujitokeza kipindi cha kesi yake,,,,,,, unamuonaga Dr cheni anavyohangaikaga kwenye kesi za lulu,anakua nae kwenye shida na raha,hata hawa bongo muvi ilibidi wawe wanaenda mahakaman kumsapoti,
Mungu anisamehe jamani ila haka kamtu nakaona kama kanafiki sana..na mwenzake McPilipili.
Teh..steve ni babuHuyo MC Pilipili na sauti yake ya kike kabisa sijawahi kujua anachekesha nini? Steve fupi nyundo sijui ni kundi la wazee au kijana mnisaidie hapo
Huwa simuelewi Steve anapenda sana nafasi ya kupokea rambirambi
Huwa simuelewi Steve anapenda sana nafasi ya kupokea rambirambi