Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,577
- 3,143
Nimejiuliza sana,kuhusu Bongo muvi kuuvalia njuga msiba wa Agnes Nyie kama wakina nani? kwenye kesi yake mbona hamkuonekana hata? mnatoka na taarifa zinazotuchanganya mara mnasema kafa kwa homa ya matumbo na kupungukiwa damu leo mwingine anasema kafa kwa pumu...kila mtu anataka kuchukua ujiko kupitia kwa marehemu mara Irene Uwoya kasema hivi,mara Ka Steve Nyerere kanapanga ratiba ya msiba mara sijui Chopa anasema marehemu alimwambia maneno mawili kabla ya kukata roho WTF!! who are you people? Acheni mambo ya Kikanjunju....Familia ya Marehemu ipo waacheni wao ndio watoe na taarifa za msiba....Tangu lini Age alikuwa msanii wa filamu?