Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,757
- 156,821
Haka kazee kanatokea mkoa gani?bongo movie kuna machiz tu aka kamjamaa kanaitwa Steve uwa nikanafiki balaa ...sijui ukuwadi aukalipi
Kabila gani?
Mbona kanatabia za ajabu?
Haka kazee kanatokea mkoa gani?bongo movie kuna machiz tu aka kamjamaa kanaitwa Steve uwa nikanafiki balaa ...sijui ukuwadi aukalipi
Huwa simuelewi Steve anapenda sana nafasi ya kupokea rambirambi
Ka Steve Nyerere kanachora ramani ya kupiga rambirambi. Ndio maana wengi wanachukulia Bongo Movie kuwa upuuzi, hivi Steve anafanya nini kinachoonekana kwenye sanaa zaidi ya ujanja ujanja na ukuwadi tu mjini?Nimejiuliza sana,kuhusu Bongo muvi kuuvalia njuga msiba wa Agnes Nyie kama wakina nani? kwenye kesi yake mbona hamkuonekana hata? mnatoka na taarifa zinazotuchanganya mara mnasema kafa kwa homa ya matumbo na kupungukiwa damu leo mwingine anasema kafa kwa pumu...kila mtu anataka kuchukua ujiko kupitia kwa marehemu mara Irene Uwoya kasema hivi,mara Ka Steve Nyerere kanapanga ratiba ya msiba mara sijui Chopa anasema marehemu alimwambia maneno mawili kabla ya kukata roho WTF!! who are you people? Acheni mambo ya Kikanjunju....Familia ya Marehemu ipo waacheni wao ndio watoe na taarifa za msiba....Tangu lini Age alikuwa msanii wa filamu?
Hivi huyu,binti ashawahi kucheza filamu gan?Nimejiuliza sana,kuhusu Bongo muvi kuuvalia njuga msiba wa Agnes Nyie kama wakina nani? kwenye kesi yake mbona hamkuonekana hata? mnatoka na taarifa zinazotuchanganya mara mnasema kafa kwa homa ya matumbo na kupungukiwa damu leo mwingine anasema kafa kwa pumu...kila mtu anataka kuchukua ujiko kupitia kwa marehemu mara Irene Uwoya kasema hivi,mara Ka Steve Nyerere kanapanga ratiba ya msiba mara sijui Chopa anasema marehemu alimwambia maneno mawili kabla ya kukata roho WTF!! who are you people? Acheni mambo ya Kikanjunju....Familia ya Marehemu ipo waacheni wao ndio watoe na taarifa za msiba....Tangu lini Age alikuwa msanii wa filamu?
Kajamaa kanafiki sana,kanajifanya kajuaji flan hivi kumbe boya.Kumbe tupo wengi tulioshangaa, nikadhani pengine aliwahi kuwa actor mi sijui maana sifatiliagi sana movie. Halafu Steve ndio ananiachaga hoi kabisa, kila msiba wa msanii wake, na anavyoongea kwa masikitiko utadhani msiba wa mamayake, huyu jamaa ni mnafiki professional
Lakini mbona hawakujitokeza kipindi cha kesi yake,,,,,,, unamuonaga Dr cheni anavyohangaikaga kwenye kesi za lulu,anakua nae kwenye shida na raha,hata hawa bongo muvi ilibidi wawe wanaenda mahakaman kumsapoti,Wanajikaanga tu. Mwisho wa siku yeyote anaefanya jambo kwa marehemu ni sawa. Aggy alikua rafiki yao hao bongo movie kwahiyo wao kuubeba msiba si jambo la kujipendekeza. Ni utamaduni wetu kukitokea jambo kufarijiana bila kuangalia ni familia bongo movie bongo fleva au mwandishi.
mfano hai....kuna wengine tangu wampost siku kala mvua ndo habar imeishia hpo,siku akitoka utaona watakavyokuwa mstari wa mbele kwenda kumpokea....hasa hiko kistivuLakini mbona hawakujitokeza kipindi cha kesi yake,,,,,,, unamuonaga Dr cheni anavyohangaikaga kwenye kesi za lulu,anakua nae kwenye shida na raha,hata hawa bongo muvi ilibidi wawe wanaenda mahakaman kumsapoti,
Nimejiuliza sana,kuhusu Bongo muvi kuuvalia njuga msiba wa Agnes Nyie kama wakina nani? kwenye kesi yake mbona hamkuonekana hata? mnatoka na taarifa zinazotuchanganya mara mnasema kafa kwa homa ya matumbo na kupungukiwa damu leo mwingine anasema kafa kwa pumu...kila mtu anataka kuchukua ujiko kupitia kwa marehemu mara Irene Uwoya kasema hivi,mara Ka Steve Nyerere kanapanga ratiba ya msiba mara sijui Chopa anasema marehemu alimwambia maneno mawili kabla ya kukata roho WTF!! who are you people? Acheni mambo ya Kikanjunju....Familia ya Marehemu ipo waacheni wao ndio watoe na taarifa za msiba....Tangu lini Age alikuwa msanii wa filamu?