Hivi Bongo Muvi wana Shida gani hawa watu?

Huu msiba umetengenezwa kwa sababu maalum na unafadhiriliwa na watu fulani ili utreand vya kutisha kupisha 1.5T na 26/4
 
Nimejiuliza sana,kuhusu Bongo muvi kuuvalia njuga msiba wa Agnes Nyie kama wakina nani? kwenye kesi yake mbona hamkuonekana hata? mnatoka na taarifa zinazotuchanganya mara mnasema kafa kwa homa ya matumbo na kupungukiwa damu leo mwingine anasema kafa kwa pumu...kila mtu anataka kuchukua ujiko kupitia kwa marehemu mara Irene Uwoya kasema hivi,mara Ka Steve Nyerere kanapanga ratiba ya msiba mara sijui Chopa anasema marehemu alimwambia maneno mawili kabla ya kukata roho WTF!! who are you people? Acheni mambo ya Kikanjunju....Familia ya Marehemu ipo waacheni wao ndio watoe na taarifa za msiba....Tangu lini Age alikuwa msanii wa filamu?
Ka Steve Nyerere kanachora ramani ya kupiga rambirambi. Ndio maana wengi wanachukulia Bongo Movie kuwa upuuzi, hivi Steve anafanya nini kinachoonekana kwenye sanaa zaidi ya ujanja ujanja na ukuwadi tu mjini?
 
Binafsi Sioni tatizo wao kuubeba msiba,Aggy Kafariki akiwa na Chopa Huenda ijakawa alikuwa na urafiki na watu wa bongo movie japokuwa hajaigiza movie yoyote

Isitoshe ni rafiki wa Karibu wa irine uwoya na wasanii Wengine wa movie

Nilivyosikia ndugu zake wako mbeya ,wao kama wamejitolea kusimamia safari yake ya Mwisho msiwaseme vibaya kwasababu hao bongoflava hajajitokeza hata mmoja Japo nimemuona dogo janja ila alikuwa pale kwaajili ya mkewe
 
Kumbe tupo wengi tulioshangaa, nikadhani pengine aliwahi kuwa actor mi sijui maana sifatiliagi sana movie. Halafu Steve ndio ananiachaga hoi kabisa, kila msiba wa msanii wake, na anavyoongea kwa masikitiko utadhani msiba wa mamayake, huyu jamaa ni mnafiki professional
 
Nimejiuliza sana,kuhusu Bongo muvi kuuvalia njuga msiba wa Agnes Nyie kama wakina nani? kwenye kesi yake mbona hamkuonekana hata? mnatoka na taarifa zinazotuchanganya mara mnasema kafa kwa homa ya matumbo na kupungukiwa damu leo mwingine anasema kafa kwa pumu...kila mtu anataka kuchukua ujiko kupitia kwa marehemu mara Irene Uwoya kasema hivi,mara Ka Steve Nyerere kanapanga ratiba ya msiba mara sijui Chopa anasema marehemu alimwambia maneno mawili kabla ya kukata roho WTF!! who are you people? Acheni mambo ya Kikanjunju....Familia ya Marehemu ipo waacheni wao ndio watoe na taarifa za msiba....Tangu lini Age alikuwa msanii wa filamu?
Hivi huyu,binti ashawahi kucheza filamu gan?
 
Kumbe tupo wengi tulioshangaa, nikadhani pengine aliwahi kuwa actor mi sijui maana sifatiliagi sana movie. Halafu Steve ndio ananiachaga hoi kabisa, kila msiba wa msanii wake, na anavyoongea kwa masikitiko utadhani msiba wa mamayake, huyu jamaa ni mnafiki professional
Kajamaa kanafiki sana,kanajifanya kajuaji flan hivi kumbe boya.
 
Kama sijakosea marehemu alishawahi semaga kwamba katika misukosuko yake ya kesi hii wstu wengi walimkimbia wale waliojifanyaga ni marafiki zake wa karibu
 
Wanajikaanga tu. Mwisho wa siku yeyote anaefanya jambo kwa marehemu ni sawa. Aggy alikua rafiki yao hao bongo movie kwahiyo wao kuubeba msiba si jambo la kujipendekeza. Ni utamaduni wetu kukitokea jambo kufarijiana bila kuangalia ni familia bongo movie bongo fleva au mwandishi.
Lakini mbona hawakujitokeza kipindi cha kesi yake,,,,,,, unamuonaga Dr cheni anavyohangaikaga kwenye kesi za lulu,anakua nae kwenye shida na raha,hata hawa bongo muvi ilibidi wawe wanaenda mahakaman kumsapoti,
 
Lakini mbona hawakujitokeza kipindi cha kesi yake,,,,,,, unamuonaga Dr cheni anavyohangaikaga kwenye kesi za lulu,anakua nae kwenye shida na raha,hata hawa bongo muvi ilibidi wawe wanaenda mahakaman kumsapoti,
mfano hai....kuna wengine tangu wampost siku kala mvua ndo habar imeishia hpo,siku akitoka utaona watakavyokuwa mstari wa mbele kwenda kumpokea....hasa hiko kistivu
 
wachane wachane mzee baba........kuna watu wanataka kupiga hela hapo.... nawaona tu
 
Nimejiuliza sana,kuhusu Bongo muvi kuuvalia njuga msiba wa Agnes Nyie kama wakina nani? kwenye kesi yake mbona hamkuonekana hata? mnatoka na taarifa zinazotuchanganya mara mnasema kafa kwa homa ya matumbo na kupungukiwa damu leo mwingine anasema kafa kwa pumu...kila mtu anataka kuchukua ujiko kupitia kwa marehemu mara Irene Uwoya kasema hivi,mara Ka Steve Nyerere kanapanga ratiba ya msiba mara sijui Chopa anasema marehemu alimwambia maneno mawili kabla ya kukata roho WTF!! who are you people? Acheni mambo ya Kikanjunju....Familia ya Marehemu ipo waacheni wao ndio watoe na taarifa za msiba....Tangu lini Age alikuwa msanii wa filamu?

MKUU UPO SAHIHI KABISA JANA NILIKUWA NAWAAMBIA WATU KITU KAMA HICHO KUWA BONGO MUVI NI WANAFIKI SANA,, NILIJIULIZA KAMA WEWE HUYU AGNESS NI LINI ALIKUWA BONGO MUVI!! LAKINI PIA NIKAJIULIZA NI LINI ALISHAWAHI HATA KUIMBA ZAIDI YA KUWA VIDEO QN. . . . WALIKUWA WANANIKERA SANA HAWA BONGO MUVI!! WENGINE NILIKUWA NAWAONA WAKICHANGANYIKIWA KABISA YANI USANII KILA MAHALI...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom