Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,027
- 144,382
Binafsi,nashangazwa sana na hawa watu wa CCM kuponda na kuidharau BAVICHA kila siku hapa JF kwa kejeli kama "hizi ni akili za kibavicha" n.k.Hivi BAVICHA si taasisi kama UVCCM,UWT na nyingine za aina hiyo?!
Mimi naomba wale wote wanaobeza BAVICHA watueleze mapungufu ya taasisi hii ukilinganisha na taasisi kama UVCCM na UWT.Pia,watueleze taasisi kama UVCCM na UWT za chama cha mapinduzi zina kipi kikubwa cha kufanya BAVICHA ionekane si chochote mbele ya taasisi hizi za CCM.
Naomba mkome mara moja kuitaja taasisi hii kanakwamba ni organizatio haramu kama vile Boko-haramu n.k.
Mkuu jukwaa hili kwa sasa ni kama linaelekea kupoteza mvuto.Sasa hivi badala ya watu kujadili hoja za msingi, wanakimbila kubezana, kuchafuana, kusifiana, kukejeliana n.k kwa ujumla ushabiki.Hali hiyo sasa ni zaidi ya chama/vyama vya siasa.Ni bora tukabadilika vinginevyo jukwaa litapoteza hadhi yake kabisa.
Binafsi,nashangazwa sana na hawa watu wa CCM kuponda na kuidharau BAVICHA kila siku hapa JF kwa kejeli kama "hizi ni akili za kibavicha" n.k.Hivi BAVICHA si taasisi kama UVCCM,UWT na nyingine za aina hiyo?!
Mimi naomba wale wote wanaobeza BAVICHA watueleze mapungufu ya taasisi hii ukilinganisha na taasisi kama UVCCM na UWT.Pia,watueleze taasisi kama UVCCM na UWT za chama cha mapinduzi zina kipi kikubwa cha kufanya BAVICHA ionekane si chochote mbele ya taasisi hizi za CCM.
Naomba mkome mara moja kuitaja taasisi hii kanakwamba ni organizatio haramu kama vile Boko-haramu n.k.
Mkuu Salary Slip
Kabla hatujaendelea na mjadala, sifa ya kwanza ya taasisi yoyote ile duniani ni kuwa na mahali inapopatikana yaani ofisi. Je ofisi za Bavicha ziko wapi? Ukishanijibu hili tutaendelea kukueleza matatizo ya Bavicha yanayofanya mpaka vijana wajisikie wanyonge sana wakiambiwa kuwa wana kiwango cha Bavicha.
Cc Paul Katyega
Binafsi,nashangazwa sana na hawa watu wa CCM kuponda na kuidharau BAVICHA kila siku hapa JF kwa kejeli kama "hizi ni akili za kibavicha" n.k.Hivi BAVICHA si taasisi kama UVCCM,UWT na nyingine za aina hiyo?!
Mimi naomba wale wote wanaobeza BAVICHA watueleze mapungufu ya taasisi hii ukilinganisha na taasisi kama UVCCM na UWT.Pia,watueleze taasisi kama UVCCM na UWT za chama cha mapinduzi zina kipi kikubwa cha kufanya BAVICHA ionekane si chochote mbele ya taasisi hizi za CCM.
Naomba mkome mara moja kuitaja taasisi hii kanakwamba ni organizatio haramu kama vile Boko-haramu n.k.
binafsi,nashangazwa sana na hawa watu wa ccm kuponda na kuidharau bavicha kila siku hapa jf kwa kejeli kama "hizi ni akili za kibavicha" n.k.hivi bavicha si taasisi kama uvccm,uwt na nyingine za aina hiyo?!
Mimi naomba wale wote wanaobeza bavicha watueleze mapungufu ya taasisi hii ukilinganisha na taasisi kama uvccm na uwt.pia,watueleze taasisi kama uvccm na uwt za chama cha mapinduzi zina kipi kikubwa cha kufanya bavicha ionekane si chochote mbele ya taasisi hizi za ccm.
Naomba mkome mara moja kuitaja taasisi hii kanakwamba ni organizatio haramu kama vile boko-haramu n.k.
Binafsi,nashangazwa sana na hawa watu wa CCM kuponda na kuidharau BAVICHA kila siku hapa JF kwa kejeli kama "hizi ni akili za kibavicha" n.k.Hivi BAVICHA si taasisi kama UVCCM,UWT na nyingine za aina hiyo?!
Mimi naomba wale wote wanaobeza BAVICHA watueleze mapungufu ya taasisi hii ukilinganisha na taasisi kama UVCCM na UWT.Pia,watueleze taasisi kama UVCCM na UWT za chama cha mapinduzi zina kipi kikubwa cha kufanya BAVICHA ionekane si chochote mbele ya taasisi hizi za CCM.
Naomba mkome mara moja kuitaja taasisi hii kanakwamba ni organizatio haramu kama vile Boko-haramu n.k.
BAVICHA ni nini....
Banda la Vichaa wa Chadema!
Binafsi,nashangazwa sana na hawa watu wa CCM kuponda na kuidharau BAVICHA kila siku hapa JF kwa kejeli kama "hizi ni akili za kibavicha" n.k.Hivi BAVICHA si taasisi kama UVCCM,UWT na nyingine za aina hiyo?!
Mimi naomba wale wote wanaobeza BAVICHA watueleze mapungufu ya taasisi hii ukilinganisha na taasisi kama UVCCM na UWT.Pia,watueleze taasisi kama UVCCM na UWT za chama cha mapinduzi zina kipi kikubwa cha kufanya BAVICHA ionekane si chochote mbele ya taasisi hizi za CCM.
Naomba mkome mara moja kuitaja taasisi hii kanakwamba ni organizatio haramu kama vile Boko-haramu n.k.
Hivi wewe hata jina bavichaa huoni kuwa lina walakin?