Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,887
- 143,983
Binafsi,nashangazwa sana na hawa watu wa CCM kuponda na kuidharau BAVICHA kila siku hapa JF kwa kejeli kama "hizi ni akili za kibavicha" n.k.Hivi BAVICHA si taasisi kama UVCCM,UWT na nyingine za aina hiyo?!
Mimi naomba wale wote wanaobeza BAVICHA watueleze mapungufu ya taasisi hii ukilinganisha na taasisi kama UVCCM na UWT.Pia,watueleze taasisi kama UVCCM na UWT za chama cha mapinduzi zina kipi kikubwa cha kufanya BAVICHA ionekane si chochote mbele ya taasisi hizi za CCM.
Naomba mkome mara moja kuitaja taasisi hii kanakwamba ni organizatio haramu kama vile Boko-haramu n.k.
Mimi naomba wale wote wanaobeza BAVICHA watueleze mapungufu ya taasisi hii ukilinganisha na taasisi kama UVCCM na UWT.Pia,watueleze taasisi kama UVCCM na UWT za chama cha mapinduzi zina kipi kikubwa cha kufanya BAVICHA ionekane si chochote mbele ya taasisi hizi za CCM.
Naomba mkome mara moja kuitaja taasisi hii kanakwamba ni organizatio haramu kama vile Boko-haramu n.k.