Wakuu,
Nimeona battle inayoendelea kati ya Rais wa Kenya na aliyekuwa Naibu Rais wake Rigathi Gachagua ambapo kwa Tanzania nafasi yake ni sawa na Makamu wa Rais.
Gachagua alichagulia kuwa Naibu Rais Agosti 2022 lakini Oktoba 2024 aliondolewa madarakani akikabiliwa na mashtaka 11 yakiwemo kutomtii rais, kuchochea vurugu za kikabila, rushwa, kuidhoofisha serikali na utakatishaji fedha, miongoni mwa mengineyo ambayo yeye aliyakana
Hawa jamaa hivi karibuni wamekuwa wakirushiana maneno ya kashfa wazi kabisa kwenye mikutano yao ya hadhara na wananchi, mbaya zaidi ni kama kila mtu anajua michezo na uchafu wa mwenzie.
Kauli aliyotoa Ruto jana alimtuhumu Gachagua ni kwamba jamaa aliwahi kumpa mimba binti mdogo na kumuua
Gachagua naye alijibu kwa kumshambulia Ruto kwa maneno machafu
Nikajiuliza, hivi kwa Malawi hii ya kina Abduli hii battle inaweza kutokea kati ya nani na nani, au nani ni Ruto na nani ni Gachagua huku Malawi
Nimeona battle inayoendelea kati ya Rais wa Kenya na aliyekuwa Naibu Rais wake Rigathi Gachagua ambapo kwa Tanzania nafasi yake ni sawa na Makamu wa Rais.
Gachagua alichagulia kuwa Naibu Rais Agosti 2022 lakini Oktoba 2024 aliondolewa madarakani akikabiliwa na mashtaka 11 yakiwemo kutomtii rais, kuchochea vurugu za kikabila, rushwa, kuidhoofisha serikali na utakatishaji fedha, miongoni mwa mengineyo ambayo yeye aliyakana
Hawa jamaa hivi karibuni wamekuwa wakirushiana maneno ya kashfa wazi kabisa kwenye mikutano yao ya hadhara na wananchi, mbaya zaidi ni kama kila mtu anajua michezo na uchafu wa mwenzie.
Kauli aliyotoa Ruto jana alimtuhumu Gachagua ni kwamba jamaa aliwahi kumpa mimba binti mdogo na kumuua
Gachagua naye alijibu kwa kumshambulia Ruto kwa maneno machafu
Nikajiuliza, hivi kwa Malawi hii ya kina Abduli hii battle inaweza kutokea kati ya nani na nani, au nani ni Ruto na nani ni Gachagua huku Malawi