Lemme say this
JF-Expert Member
- Nov 4, 2023
- 397
- 1,064
Habari za muda huu wanaJF
Mimi nimekuma nikipenda Sana mambo ya uwekezaji hasa online investment Sasa shida yangu ni platform ipi inafaa kwa kutumia coz DSE is such a **** and I have been buying stocks for 3 long f***in years na hakuna cha maana nilichopata what a waste of time
Eti wakuu bamboo invest app ni available kwa hapa bongo? Mana DSE miyeyusho sana
Na Kama ni available natakiwa kuwa na account gani ya benki kufanya miamala?
So mnanisaidiaje wakuu?
Mimi nimekuma nikipenda Sana mambo ya uwekezaji hasa online investment Sasa shida yangu ni platform ipi inafaa kwa kutumia coz DSE is such a **** and I have been buying stocks for 3 long f***in years na hakuna cha maana nilichopata what a waste of time
Eti wakuu bamboo invest app ni available kwa hapa bongo? Mana DSE miyeyusho sana
Na Kama ni available natakiwa kuwa na account gani ya benki kufanya miamala?
So mnanisaidiaje wakuu?