R CHUGGA
Senior Member
- Nov 28, 2011
- 124
- 13
Leo asubuhi nimeona msafara wa magari manne yaliyojaa askari na gari la maji ya kuwasha yakielekea njia ya Chalinze-Segera nilipofuatilia nimegundua ni askari wa Ukonga na wengine wa Pwani na wanaelekea huko Arumeru kwa ajili ya ulinzi.
Ndo nauliza inamaana hao askari wa Arusha Moshi hawawezi kuimarisha ulinzi hapo Arumeru?
kazi ipo huko!!
Ndo nauliza inamaana hao askari wa Arusha Moshi hawawezi kuimarisha ulinzi hapo Arumeru?
kazi ipo huko!!