Power G
JF-Expert Member
- Apr 20, 2011
- 3,886
- 1,194
Tulishawazoea magamba kuwatisha wapiga kura, naona ni bora wangepeleka na vifaru vya kivita kabisaSi mbaya sana kama yakiwepo hapo arusha mjini,standing-by kwa lolote ambalo linaweza kutokea huko arumeru mashariki.na kuhitaji nguvu ya ziada.
Lakini pia yawe tayari kumlinda kamanda Lema dhidi ya washiri na Tendwa wao. Maana imedhihirika kuwa washili ni sehemu ya ukoo wa Siyoi Sumari.