Hivi asili ya Wameru wa Tanzania ni wapi?

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
8,990
17,879
Baada ya kuchoshwa na matukio ya awamu ya tano ngoja leo tujifunze kidogo kuhusu kabila la Wameru

Mpaka sasa hivi haswa sijafahamu asili ya hawa jamaa wengine wanadai ni machame but wa karibu zaidi na Wameru ni Waarusha na Wamasai kwa Magharibi na jamii ya wasiha kwa Mashariki

Maswali yangu ni haya:

1. Ilikuaje wakafika Arusha wakahamia wotee na lugha yao? maana kiasili nimeambiwa Arusha walikuja tu.

2. Nini kiliwafanya wakimbilie Arusha

3. Kwanini hawajiiti Wachaga wakati wanatumia lugha ya Kichaga?

Karibuni wajuzi
 
Hicho ni kipande cha wamachame kilimeguka na ni kutokana ma mavita ya kiukoo yaliyokuwepo wakati wa zamani. Hilo halina ubishi mila wamechanganya kidogo na za kimasai, lugha imebaki ileile ya wamachame (akina mbowe) , majina ni yale yale, lugha ni ile ile, matambiko ni yaleyale, dini ( walutheri) ni ile ile na chama (peoposi) ni kile kile .
 
Hicho ni kipande cha wamachame kilimeguka na ni kutokana ma mavita ya kiukoo yaliyokuwepo wakati wa zamani. Hilo halina ubishi mila wamechanganya kidogo na za kimasai, lugha imebaki ileile ya wamachame (akina mbowe) , majina ni yale yale, lugha ni ile ile, matambiko ni yaleyale, dini ( walutheri) ni ile ile na chama (peoposi) ni kile kile .
Ikowelyamau
 
MMERU +MMACHAME=1
akiongea mmeru mmachame anamuelewa tofauti ni maneno tu,ni kama vile msukuma na mnyamwezi.na inasemekana hawa watu walitokea machame.
 
MMERU +MMACHAME=1
akiongea mmeru mmachame anamuelewa tofauti ni maneno tu,ni kama vile msukuma na mnyamwezi.na inasemekana hawa watu walitokea machame.
Kweli kabisa
1. Zamani kulikuwa na vita za kikoo hivyo ukiwa dhaifu unapigwa unanyanganywa mashamba na mali zote na wanawake wazuri

2. Wewe uliyepigwa inabidi usonge mbele na watu wako ukatafute sehemu ambayo hailkaliwi na mtu ( tera nulius) au kwa waliodhaifu kuliko wewe unapigana ukishinda basi unaanzisha utawala wako na wewe nadhani ndicho kilichotokea kwa hawa jamaa
 
Back
Top Bottom