kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,990
- 17,879
Baada ya kuchoshwa na matukio ya awamu ya tano ngoja leo tujifunze kidogo kuhusu kabila la Wameru
Mpaka sasa hivi haswa sijafahamu asili ya hawa jamaa wengine wanadai ni machame but wa karibu zaidi na Wameru ni Waarusha na Wamasai kwa Magharibi na jamii ya wasiha kwa Mashariki
Maswali yangu ni haya:
1. Ilikuaje wakafika Arusha wakahamia wotee na lugha yao? maana kiasili nimeambiwa Arusha walikuja tu.
2. Nini kiliwafanya wakimbilie Arusha
3. Kwanini hawajiiti Wachaga wakati wanatumia lugha ya Kichaga?
Karibuni wajuzi
Mpaka sasa hivi haswa sijafahamu asili ya hawa jamaa wengine wanadai ni machame but wa karibu zaidi na Wameru ni Waarusha na Wamasai kwa Magharibi na jamii ya wasiha kwa Mashariki
Maswali yangu ni haya:
1. Ilikuaje wakafika Arusha wakahamia wotee na lugha yao? maana kiasili nimeambiwa Arusha walikuja tu.
2. Nini kiliwafanya wakimbilie Arusha
3. Kwanini hawajiiti Wachaga wakati wanatumia lugha ya Kichaga?
Karibuni wajuzi