majutobeach
JF-Expert Member
- Aug 10, 2016
- 212
- 164
Mimi nitakuwa wa kwanza kupiga kula ya Noooooooo
Kwa taarifa yako mafisem asilimia themanini wameshinda lkn hawakuchaguliwa,,unaona naaape machungu anayolilia ni madogo baada ya goli la maradona kutumika kuwaingiza wengi halafu leo wamemtosa,,!!??Huwezi shinda kama hukuchaguliwa, na wanaochagua ni watanzania wenye sifa wengi hawana vyama.
Kwa akili yako wamchague nani tena zaidi yake. Hatutaki majizi bora yabaki huko huko kwenu!Mada tajwa yahusika,
Najiuliza hivi ifikapo 2020 kuna Watanzania wenye akili timamu wataichagua CCM na Magufuli? Kimsingi CCM na mwenyekiti wao hawafai tena kuendelea kuongoza taifa ili kutokana na majanga wanayotusababishia wananchi.
Serikali hii ina dhambi zifuatazo;
1.Kubana demokrasia na Uhuru wa habari/kuongea wanataka habari za kusifiwa tu.
2.Kukamata raia ovyo kisa wanaongea ukweli mchungu dhidi ya serikali.
3.Kuporomosha uchumi na kufanya hali ya maisha kuwa ngumu zaidi.
4.Kuzuia ajira hasa za walimu wa sanaa ambazo ndio zilikua kimbilio la watoto wa maskini.
5.Kula fedha za rambirambi hii ni laana kubwa.
6.Kupitisha mikataba mibovu ya madini na kufanya wazungu watuibie miaka nenda rudi.
Taja madhambi mengine hapa ya CCM ili tuyajue na tuwapige chini ifikapo 2020.
Akili yako unaijua mwenyewe.Mimi nipo..nitamchagua tu
Hili nalo nenoBaba Weka odds tupige mtonyo, Magu atoboi na waliombeba kesha watusi.
Mada tajwa yahusika,
Najiuliza hivi ifikapo 2020 kuna Watanzania wenye akili timamu wataichagua CCM na Magufuli? Kimsingi CCM na mwenyekiti wao hawafai tena kuendelea kuongoza taifa ili kutokana na majanga wanayotusababishia wananchi.
Serikali hii ina dhambi zifuatazo;
1.Kubana demokrasia na Uhuru wa habari/kuongea wanataka habari za kusifiwa tu.
2.Kukamata raia ovyo kisa wanaongea ukweli mchungu dhidi ya serikali.
3.Kuporomosha uchumi na kufanya hali ya maisha kuwa ngumu zaidi.
4.Kuzuia ajira hasa za walimu wa sanaa ambazo ndio zilikua kimbilio la watoto wa maskini.
5.Kula fedha za rambirambi hii ni laana kubwa.
6.Kupitisha mikataba mibovu ya madini na kufanya wazungu watuibie miaka nenda rudi.
Taja madhambi mengine hapa ya CCM ili tuyajue na tuwapige chini ifikapo 2020.
Kura zitaongezeka mkuu. Atapata 71% kwa sababu anatekeleza tuliyomtuma kuyatekeleza.Mada tajwa yahusika,
Najiuliza hivi ifikapo 2020 kuna Watanzania wenye akili timamu wataichagua CCM na Magufuli? Kimsingi CCM na mwenyekiti wao hawafai tena kuendelea kuongoza taifa ili kutokana na majanga wanayotusababishia wananchi.
Serikali hii ina dhambi zifuatazo;
1.Kubana demokrasia na Uhuru wa habari/kuongea wanataka habari za kusifiwa tu.
2.Kukamata raia ovyo kisa wanaongea ukweli mchungu dhidi ya serikali.
3.Kuporomosha uchumi na kufanya hali ya maisha kuwa ngumu zaidi.
4.Kuzuia ajira hasa za walimu wa sanaa ambazo ndio zilikua kimbilio la watoto wa maskini.
5.Kula fedha za rambirambi hii ni laana kubwa.
6.Kupitisha mikataba mibovu ya madini na kufanya wazungu watuibie miaka nenda rudi.
Taja madhambi mengine hapa ya CCM ili tuyajue na tuwapige chini ifikapo 2020.
Akili halisi za kiccm.Kura zitaongezeka mkuu. Atapata 71% kwa sababu anatekeleza tuliyomtuma kuyatekeleza.
Na mkimrudisha huyo wa kujinyea au fisadi papa jpm atakuwa na 80%