HIV+

HIV+

Kuna mtu anasoma chuo kikuu alipata maambukizi ya virus vya ukimwi angali akimuuguza ndg yake aliekua na maambukizi hayo anatafuta mchumba wa kike wa kuoa
Umri:18-25
HIV+
Mkristo(mkatoliki) ama asie mkristo ambae anaweza kua mkristo
Weka number za simu na picha yake
 
Kama anatumia dawa hawezi kuwa hatari kwa patner wake. Tafiti za juzi zimeonesha zero chance ya mtu anayetumia dawa kumuambukiza ambaye hajaathirika. Tatizo linakuja, nani atajiamaini au kuishinda hali ya unyanyapaa ya kuoa au kuolewa na muathirika? source: ( https://www.thelancet.com/journals/lancet/article/PIIS0140-6736(19)30701-9/fulltext)
Successful treatment of HIV eliminates sexual transmission-Lacent
 

Attachments

Tunawaambia mkasome mnaongeza na umalaya,kwani hukuona mabango yameandikwa graduate with A's don't graduate with Aid's.
Umeishia kusoma mabango ya graduate with A's, umetoka huna hata chembe ya hekima na busara, kusoma ni pamoja na kustarabika we kiumbe!!
 
Hivi ile dawa ya HIV ilisemekana imekundulika sio taarifa za kweli ije kusaidia kutibu watu
 
Yeye hayupo humu jf ajitokeze, au ni wewe umekuja kwa id nyingine, ugonjwa huu ni janga kwa jamii,Mungu amsaidie hitaji la moyo wake
Hayupo ni muda Sasa kanieleza jambo hili na mtu akieleza Jambo Kama huwezi kulitatua unaacha
 
Kama anatumia dawa hawezi kuwa hatari kwa patner wake. Tafiti za juzi zimeonesha zero chance ya mtu anayetumia dawa kumuambukiza ambaye hajaathirika. Tatizo linakuja, nani atajiamaini au kuishinda hali ya unyanyapaa ya kuoa au kuolewa na muathirika? source: ( https://www.thelancet.com/journals/lancet/article/PIIS0140-6736(19)30701-9/fulltext)
Successful treatment of HIV eliminates sexual transmission-Lacent

Eti kutumia dawa kunapelekea zero chance ya maambukizi,, real!!? How, when!!? Ha ha ha.. polepole kitaeleweka tu,, bado muda kidogo sana hii biashara itajifunga rasmi. Nafikiri sasa hivi wanakuna vichwa kubuni biashara nyingine itajayolipa zaidi ya hii maana kwa hali ilivyo kwa sasa wanatafuta wateja kwa lazma ila kwa ujanja wa hali ya juu
 
Eti kutumia dawa kunapelekea zero chance ya maambukizi,, real!!? How, when!!? Ha ha ha.. polepole kitaeleweka tu,, bado muda kidogo sana hii biashara itajifunga rasmi. Nafikiri sasa hivi wanakuna vichwa kubuni biashara nyingine itajayolipa zaidi ya hii maana kwa hali ilivyo kwa sasa wanatafuta wateja kwa lazma ila kwa ujanja wa hali ya juu
Aisee, inawezekana bwana utakuwa umeliona hilo kwa jicho la mwewe. Umesoma article iliyoambatanishwa lakini?
 
Umeishia kusoma mabango ya graduate with A's, umetoka huna hata chembe ya hekima na busara, kusoma ni pamoja na kustarabika we kiumbe!!
What a pathetic coment,u better understand your signature before backing like a dog.
 
Back
Top Bottom