HIV-Resistant Citizens Found

HIV-1 ina strains nyingi; baadhi ya strains ni T-cell tropic (T-tropic) na zinatumia CXCR4 kama co-receptor, wakati strains nyingine ni macrophage-tropic (M-tropic) na zinatumia CCR5 kama co-receptor.

Kuna strains chache za HIV-1 ambazo zaweza ku-bind hata CCR3 ama chemokine receptors zingine kwenye cells ambazo zinazi-express hizo chemokines lakini bado roles zao (including CCR3) kwenye HIV-1 infection iko unclear.

Science haiendi kwa logic tu la sivyo mambo yangekuwa marahisi. Ndio maana tafiti zaendelea kila siku hata kwa magonjwa ambayo yamejulikana miaka zaidi ya 100 iliyopita. Usipoelewa logic yawezekana ume-miss point ama kwa present knowledge/technology tuliyonayo bado kuna kitu tunaki-miss, tunatakiwa tukigundue. Hivyo usipende kuwa rigid, go back to your lab ama journals na waweza kujifunza kitu kipya.

there u are mkuu na sijataka kabisa kuongelea different HIV strains before,nilikuwa nataka nizungumzie concept nzima ya ccr5 na cxcr4 ili tuelewane.nashukuru umeanza kuongea wewe na sioni tatizo liko wapi ukashindwa kuona kwamba co receptor moja haiwezi kuwa muhimu zaidi ya nyingine wakati unajua kabisa kwamba kuna strains tofauti tofauti za HIV na zinatumia co-receptors tofauti tena hapo ungeweza kuongeza na NK cells kwa mfano zenye zina CD4 na ccr5 na ziko prone kwa strains zenye kushikana na ccr5.
niliposema logic nilimaanisha kwamba kwa ile mifano miwili niliyotoa ambayo ni sayansi current huhitaji kuwa na Masters ya immunology ili uelewe concept nzima ya umuhimu wa hizi co-receptors.
 
there u are mkuu na sijataka kabisa kuongelea different HIV strains before,nilikuwa nataka nizungumzie concept nzima ya ccr5 na cxcr4 ili tuelewane.nashukuru umeanza kuongea wewe na sioni tatizo liko wapi ukashindwa kuona kwamba co receptor moja haiwezi kuwa muhimu zaidi ya nyingine wakati unajua kabisa kwamba kuna strains tofauti tofauti za HIV na zinatumia co-receptors tofauti tena hapo ungeweza kuongeza na NK cells kwa mfano zenye zina CD4 na ccr5 na ziko prone kwa strains zenye kushikana na ccr5.
niliposema logic nilimaanisha kwamba kwa ile mifano miwili niliyotoa ambayo ni sayansi current huhitaji kuwa na Masters ya immunology ili uelewe concept nzima ya umuhimu wa hizi co-receptors.

Masters yako ya immunology inabidi ikusaidie kupambanua haya mambo na zaidi! Vipi tena.
 
Masters yako ya immunology inabidi ikusaidie kupambanua haya mambo na zaidi! Vipi tena.

Mkuu naona sasa wewe unataka kuleta ligi.Nimesema Masters ya immunology kama mfano wa watu waliobobea huko wewe unaniwekea maneno eti nina Masters ya immunology.wapi niliposema nina masters ya immunology?
naishia hapa mkuu.lengo langu lilikuwa katika kueleweshana,hatutafuti mshindi.
nimejitahidi kuandika kile ambacho nilikifanyia kazi na kukielewa na ndiyo ukweli wenyewe.
peace out mkuu!
 
mkuu naona sasa wewe unataka kuleta ligi.nimesema masters ya immunology kama mfano wa watu waliobobea huko wewe unaniwekea maneno eti nina masters ya immunology.wapi niliposema nina masters ya immunology?
Naishia hapa mkuu.lengo langu lilikuwa katika kueleweshana,hatutafuti mshindi.
Nimejitahidi kuandika kile ambacho nilikifanyia kazi na kukielewa na ndiyo ukweli wenyewe.
Peace out mkuu!
peace n love ... Lol
 
Watu ambao ni HIV resistant wapo, tena wengi tu.

Mfano kati ya bibi na bwana (hawakuwa wakitumia kinga kwenye tendo la ndoa) anaweza kuwa HIV positive au kuugua AIDS na hata kufariki, wakati mwenzie HIV negative.

Nakumbuka topic ya namna hii nilishwahi kuisikia ikijadiliwa mwaka 1999 katika kipindi cha "Africa Journal" kilichokuwa kinarushwa na ITV, nikafikiri ni mzaha. Yule mhojaji alikuwa anawahoji akina dada wanaojiuza katika mji wa Nairobi ambao walikutwa hawana HIV huku wapenzi wao wakiwa wamekufa kwa gonjwa hilo hilo.
Nadhani katika mada hii nitapa elimu zaidi ya hali hii isiyo ya kawaida.
 
Mkuu naona sasa wewe unataka kuleta ligi.Nimesema Masters ya immunology kama mfano wa watu waliobobea huko wewe unaniwekea maneno eti nina Masters ya immunology.wapi niliposema nina masters ya immunology?
naishia hapa mkuu.lengo langu lilikuwa katika kueleweshana,hatutafuti mshindi.
nimejitahidi kuandika kile ambacho nilikifanyia kazi na kukielewa na ndiyo ukweli wenyewe.
peace out mkuu!

Mjadala umeji regulate weneywe na ume bring out from both you!!

lets hope this details will have anything to do with siginificant emproving the carent situation of HIV/ADS!
 
Its a step towards HIV vaccine development BUT the vaccine is somewhere with someone cause HIV was made by someone somewhere. Provable!
 
Back
Top Bottom