Mapenzi ni mkataba wa hiyari,
na hiyari yazidi utumwa..
mapenzi sio kipofu ila watu wanaopenda ndio hujifanya vipofu,
hawawezi kuona ilhali wana macho ya kutazama..
na hapo ndipo wanapo thubutu kujivuna na kujivunia UJINGA na UPUUZI kwa matokeo ya kitabu cha kitoto na upumbavu.
"UPWEKE wa moyo huondolewa na rafiki mmoja tu aitwae UPENDO"