Nkolandoto
JF-Expert Member
- Sep 18, 2016
- 4,102
- 4,031
- Thread starter
- #21
Sasa mkuuuTeeeh teeeeh teeeh.
Ngoja wenyewe waje
Ina maana wewe humo?
Sasa mkuuuTeeeh teeeeh teeeh.
Ngoja wenyewe waje
Nani mkuuuuunalilia mapenzi umelogwa?
Ama kweli upendo hupofusha machoMapenzi ni mkataba wa hiyari,
na hiyari yazidi utumwa..
mapenzi sio kipofu ila watu wanaopenda ndio hujifanya vipofu,
hawawezi kuona ilhali wana macho ya kutazama..
na hapo ndipo wanapo thubutu kujivuna na kujivunia UJINGA na UPUUZI kwa matokeo ya kitabu cha kitoto na upumbavu.
"UPWEKE wa moyo huondolewa na rafiki mmoja tu aitwae UPENDO"
Hadi nikatamani uwe mchepuko kabisaNdio wewe jeeee?
Si kweli bali sisi wenyewe tumekuwa tukijafanya hatutaki kuona wala kusikia kwa yatokeayo katika mapenziAma kweli upendo hupofusha macho
Hiyo dhambi inikalie mbali na ukoo wangu.Hadi nikatamani uwe mchepuko kabisa
Anyway.....Si kweli bali sisi wenyewe tumekuwa tukijafanya hatutaki kuona wala kusikia kwa yatokeayo katika mapenzi
Ha hii hatariSi kweli bali sisi wenyewe tumekuwa tukijafanya hatutaki kuona wala kusikia kwa yatokeayo katika mapenzi
Yaani mpaka kwenye ukoooHiyo dhambi inikalie mbali na ukoo wangu.
Sasa mkuuu
Ina maana wewe humo?
Yaani mpaka kwenye ukooo
Najua nimekukosea kuanika huku
Ngoja nije chemba
Hahahaha wanawake Wa hivi huwaga watamu maana kila akijibu kwa hasira ni kama ananichocheaTena ushindwe na ulegee.
Mazowea sitaki.
BarikiwaHii imekaa freshi
Ukaribie tuolewe wote?Sijaoa
Nikaribie bibie
Si nimekuambia Nina my hubby wangu my dear Nkolandoto?Nakuoa wewe
Mbona kunizodoa