Nkolandoto
JF-Expert Member
- Sep 18, 2016
- 4,102
- 4,031
- Thread starter
- #41
Aisee huyu Zama zake zimeisha nataka tufungue ukurasa mwingineSi nimekuambia Nina my hubby wangu my dear Nkolandoto?
Kimwana weee
Aisee huyu Zama zake zimeisha nataka tufungue ukurasa mwingineSi nimekuambia Nina my hubby wangu my dear Nkolandoto?
What God has brought together let no man lay asunder.Aisee huyu Zama zake zimeisha nataka tufungue ukurasa mwingine
Kimwana weee
What God has brought together let no man lay asunder.
Utachuma dhambi mwenzio.
Ohooo.







🤣🤣🤣. Eid Mubarak my Dear.
Karucee utetezi wako umepozwa wewe njoo ukurasa mpya ufunguliwe.
Wewe aisee hukumuelewa Bobu.Unakumbuka Bob Marley alishatuusia kuwa "No Woman No Cry" ...Vilio,mabeef, presha,kukonda kwa mawazo kwa jinsia Me kwa sehemu kubwa huletwa na wanawake...japo ni mama zetu ila chamoto tunakiona
Asante kimwana. Eid Mubarak my Dear.
Acha mihemko![]()



Karibuuuuuu tujilambe.Asante kimwana
Pilau lipo nije kabisa
Thanks in advance
Chapu Niko njiani






Tutakufungia wewe njeeeChapu Niko njiani
Tutajilamba mpaka basi.
Huyo ashafungiwa nje hana uwezo na kurupushani tena
![]()
Tutakufungia wewe njeee




Wewe leo sijui umeamkajeeee 🤣
Nakuvutia kwa nje wakati unafunga mlango sote tunakuwa nje ndo kulambana sasa Hadi
Mkulu alemewe
Nimeamka nikiwa nimeangalia juuWewe leo sijui umeamkajeeee![]()
Vijana siku hizi hamuogopi wake za watu?Nimeamka nikiwa nimeangalia juu
Nikakuona wewe
Aki ya Nani .
Vijana siku hizi hamuogopi wake za watu?




