Hitwe ni mtandao gani?

Hitwe ni mtandao gani?

mchumi boy

Member
Joined
Jun 4, 2016
Posts
70
Reaction score
31
Wanajamii hii mitandao mingine ya kijamii yakuangalia matumizi yke kwani kuna dada poa wanajiuza,wengine ni mawasiliano ya kawaida.
Basi kuna binti mmoja nilijaribu nione je inawezekana ukafanikiwa kumpata mpenzi kwa njia ya mtandao basi nikaomba awe mpenzi wangu akakubali na mpaka sasa tuna mawasiliano naye mazuri na nilimkaribisha afike kwetu amekubali na kunipa masharti ya kukaa na mimi kwa wiki moja halafu atarudi kwao na amenipa masharti nikitaka aje lazima nimrushie hela ya nauli na hela ya chakula njiani.

Sasa naombeni ushauri je hawezi kuwa tapeli na je kweli inawezekana kukubali kiurahisi namna hyo kwani haujaisha hta mwezi mmoja toka tuwe na mawasiliano naye.

kwa wenye uzoefu wa mapenzi ya mitandao je anaweza akanifaa katika maisha,na nyongeza kwenye picha zake ameziba mdomo usionekane vizuri na nilipomwuliza alinijibu sio kazi yangu kujua na alikasirika sikuelewa ni kwa nini napata wasiwasi kidogo kwanini apate hasira kwa jambo hilo.
Naombeni ushauri kwani jumamosi hii ndio atafika kwangu na nilimwahidi kumtumia hela ya nauli na chakula njiani kesho ijumaa.
 
Nilidhani wewe ni MVULANA kumbe BABA mzima kabisa!!!! Halafu tunatarajia kuifanya Tanzania kuwa nchi ya viwanda kwa kuwatumia watu wa aina yako??? Safari bado ni ndefu.....
 
Ni Vibaya Kumuhukumu Mtu Kwa Kumuhisi....Anyway Mfate Uje Nae Kwako, Tena Raha Kumfata Mpenz Wako Na Kuja Nae Kwako. Akigoma Usimfate Hapo Mimi Simo !!
 
Wanajamii hii mitandao mingine ya kijamii yakuangalia matumizi yke kwani kuna dada poa wanajiuza,wengine ni mawasiliano ya kawaida.Bsi kuna binti mmoja nilijaribu nione je inawezekana ukafanikiwa kumpata mpenzi kwa njia ya mtandao bsi nikaomba awe mpenzi wangu akakubali na mpaka sasa tunamawasiliano naye mazuri na nilimkaribisha afike kwetu amekubali na kunipa masharti ya kukaa na mm kwa wki moja halafu atarudi kwao na amenipa masharti nikitaka aje lazima nimrushie hela ya nauli na hela ya chakula njiani.Sasa naombeni ushauri je hawezi kuwa tapeli na je kweli inawezekana kukubali kiurahisi namna hyo kwani haujaisha hta mwezi mmoja toka tuwe na mawasiliano naye.kwa wenye uzoefu wa mapenzi ya mitandao je anaweza akanifaa ktk maisha,na nyongeza kwenye picha zake ameziba mdomo usionekane vzuri na nilipomwuliza alinijibu sio kzi yangu kujua na alikasirika sikuelewa ni kwa nn napata wasiwasi kdogo kwann apate hasira kwa jambo hilo.Naombeni ushauri kwani jumamosi hii ndio atafika kwangu na nilimwahidi kumtumia hela ya nauli na chakula njiani kesho ijumaa.
Formula ni hiv... usije ... narudia tena usije ukamuamin mtu wa mtandan.. kiasi kwamba ukamtumia hela. utaumia sana braza.
 
~~~>>>Wala usikurubie zinaa, Hakika zinaa ni uchafu...
 
Back
Top Bottom