OMG... how dare she chated with my worst enemy
Him; "...wanawake ndivyo mlivyo!"
Her; "...wanaume wote mpo sawa!"
Kuna "ukweli" gani kwenye nukuu hizi?
Mwanamke kafumaniwa sasa anajuta na kuomba msamaha wakati huo huo jamaa amepanic
Kamanda, you have a well of wisdom and analytical qualitiesNadhani kauli za aina hii hutoka kwa sababu au katika hali ya hasira, kukata tamaa na depression lakini si kweli kuwa wanawake WOTE wako kama anayerifaiwa au wanaume WOTE wako sawa na mtuhumiwa. .......... Baharini kuna papa, nyangumi lakini pia wapo sato, red snipers......... so ni bahati ya mtu pamoja na baraka alizopewa na mwenyezi MUNGU kuweza kupata tofauti ..................
Kamanda, you have a well of wisdom and analytical qualities
Thanks MJ1
BTW, mbu is on another level aisee
Him; "...wanawake ndivyo mlivyo!"
Her; "...wanaume wote mpo sawa!"
Kuna "ukweli" gani kwenye nukuu hizi?
I believe hizo ni statements ambazo hutolewa bila kuassess contribution ya kila mmoja on whatever has happened, ni namna ya kushift blame to the other person.
Hao wako gesti.gest yenyewe iko cnza inaitwa machmach 7babu hayo mashuka yako familier na yale y machmach.demu kashika tama anamwambia bila ndomu hupati ki2,jamaa kashika kichwa anakumbuka amezisahau reception
Hahahahahahaaaaaaaaaaaa uwiii ChweChwe you made my day.......hii Guest ndo ile ipo karibu na Lion Hotel?? loh............ mh
Mbu.............with exception to ile thread ya Mama Mkwe........ Am just touched by the choice of your topics kaka..........whatzup?