Hitimisho; Watu wote humu ni CCM!

Hitimisho; Watu wote humu ni CCM!

Ni kweli emu fikiria tuko tuna subiri polepole azungumze MTU analeta Uzi WA SIMBA na YANGA HIVI KWELI tuko sirias. Half watukanaj WA ccm unawakuta TENA KULE wanachangia MPAKA najiuliza HIVI hawaaa
 
Humu sio kwamba watu ni ccm
Ila humu watu wenye akili timamu ni wengi
Ndio maana wako upande uliopo sahihi muda wote
Oh, kumbe!! Na wewe ni mmojawapo wapo mkuu?!! Nijibu Ili nijue kama akili siku hizi ndo zimefikia hatua ya kudhalilika kiasi hiki.
 
Kamaa ukifanya yale watanzania wanataka, ushindi huo ni lazima upate hata asilimia 99unapata.

Shida inakuja pale utakapofanya kinyume na matakwa ya watanzania na wao wanataka chama chao kifanye vizuri na si vinginevyo.

Upinzani bado hawajajipanga, upinzani mwaka huu ungekua kama ule wa 2015, upinzani wa bila Lowasa na Mbowe, wangebeba nchi mapema sana.

Lisu pamoja na kua mpinzani anaejitoa, watu wanamashaka na uzalendo wake. Lisu si kama Mrema wa NCCR Mageuzi enzi za miaka ya 1995
Ahsante. Watu walio na mashaka na lissu ni sahihi kabisa kuwa nae sababu huyo ni puppet aliye 'live' kabisa.
 
Tofauti na hilo, wote humu ni wanaccm tu kwa hakika kwani wanaipenda haswaa.
Usipate taabu, anzisha polls kati ya wanaoipenda CCM na ambao hawataki hata kuisikia CCM...utapata majibu ya uhakika! Kumbuka hii ni JF, si tume ya CCM.

Mimi nina hakika huna huo ujasiri wa kuanzisha kitu kama hicho
 
Ccm inategemea
Ujinga wa watanzania
TISS
POLICCM
Mahakama
Msajili wa vyama ( nyahoza na ofisi yake)
Nec
Bila hivyo chama hicho hakina uwezo wa kushindana na vyama vingine kwa hoja zenye ushawishi na za kueleweka mbele ya umma.
Chama hicho kikizidiwa hujificha nyuma ya hivyo vyombo nilivyotaja hapo juu
Umepiga lunch mkuu?!!!
 
Ndiyo, hivyo ndivyo ilivyo humu jf mpaka Sasa baada ya uchunguzi wangu wa kina. Hoja za upingaji na upondaji huja tu ikiwa Inategemea pale ccm juu amekaa nani na anasema au kufanya nini kinachotofautiana na mawazo au uelewa wa mwanaJF. Tofauti na hilo, wote humu ni wanaccm tu kwa hakika kwani wanaipenda haswaa.

Habari za gwajima na polepole na michango inayoendelea kuteremka humu kuhusu watu hao na furaha waliyonayo wapinzani, hususani chadema, vinathibitisha hivyo kuwa mioyoni mwao ipo ccm tu. Nimegundua ule ushindi wa 90+% ni sawa kabisa na sitoshangaa hata kidogo ikifika 100%. Usikimbilie kubisha kabla ya kuchunguza kwanza.
Chadema wana makesi kibao na wala hawana furaha wangekua wana furaha si wangekubali kuja october ila wamegoma
 
Watu wote ni CCm, kila mtanzania ni CCM.

Sasa sielewi kwanini tunaogopa Tume huru.
 
Kamaa ukifanya yale watanzania wanataka, ushindi huo ni lazima upate hata asilimia 99unapata.

Shida inakuja pale utakapofanya kinyume na matakwa ya watanzania na wao wanataka chama chao kifanye vizuri na si vinginevyo.

Upinzani bado hawajajipanga, upinzani mwaka huu ungekua kama ule wa 2015, upinzani wa bila Lowasa na Mbowe, wangebeba nchi mapema sana.

Lisu pamoja na kua mpinzani anaejitoa, watu wanamashaka na uzalendo wake. Lisu si kama Mrema wa NCCR Mageuzi enzi za miaka ya 1995
Mpinzani nchi hii ni Mdude Nyagali tu ila bahati mbaya ndo ana matatizo ya akili na ukosefu wa busara. Kama Mdude angesaidiwa na chama chake jinsi ya kuongea kisiasa bila kauli chafu angekuwa poa sana kwenye upinzani.
 
Back
Top Bottom