Hitimisho; Watu wote humu ni CCM!

Hitimisho; Watu wote humu ni CCM!

Dr wa Manesi

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2024
Posts
4,398
Reaction score
3,330
Ndiyo, hivyo ndivyo ilivyo humu jf mpaka Sasa baada ya uchunguzi wangu wa kina. Hoja za upingaji na upondaji huja tu ikiwa Inategemea pale ccm juu amekaa nani na anasema au kufanya nini kinachotofautiana na mawazo au uelewa wa mwanaJF. Tofauti na hilo, wote humu ni wanaccm tu kwa hakika kwani wanaipenda haswaa.

Habari za gwajima na polepole na michango inayoendelea kuteremka humu kuhusu watu hao na furaha waliyonayo wapinzani, hususani chadema, vinathibitisha hivyo kuwa mioyoni mwao ipo ccm tu. Nimegundua ule ushindi wa 90+% ni sawa kabisa na sitoshangaa hata kidogo ikifika 100%. Usikimbilie kubisha kabla ya kuchunguza kwanza.
 
Ulikuwa hujui hilo mkuu? Na sio JF tu hata nje ya JF watanzania wote ni CCM. Hakuna mtanzania anapenda kuona CCM dhaifu ndo maana kwa wakati huu kelele ni kubwa kutoka kwa wanaojiita wapinzani kutaka CCM iteue wagombea ubunge wenye sifa.
 
Kamaa ukifanya yale watanzania wanataka, ushindi huo ni lazima upate hata asilimia 99unapata.

Shida inakuja pale utakapofanya kinyume na matakwa ya watanzania na wao wanataka chama chao kifanye vizuri na si vinginevyo.

Upinzani bado hawajajipanga, upinzani mwaka huu ungekua kama ule wa 2015, upinzani wa bila Lowasa na Mbowe, wangebeba nchi mapema sana.

Lisu pamoja na kua mpinzani anaejitoa, watu wanamashaka na uzalendo wake. Lisu si kama Mrema wa NCCR Mageuzi enzi za miaka ya 1995
 
Ndiyo, hivyo ndivyo ilivyo humu jf mpaka Sasa baada ya uchunguzi wangu wa kina. Hoja za upingaji na upondaji huja tu ikiwa Inategemea pale ccm juu amekaa nani na anasema au kufanya nini kinachotofautiana na mawazo au uelewa wa mwanaJF. Tofauti na hilo, wote humu ni wanaccm tu kwa hakika kwani wanaipenda haswaa.

Habari za gwajima na polepole na michango inayoendelea kuteremka humu kuhusu watu hao na furaha waliyonayo wapinzani, hususani chadema, vinathibitisha hivyo kuwa mioyoni mwao ipo ccm tu. Nimegundua ule ushindi wa 90+% ni sawa kabisa na sitoshangaa hata kidogo ikifika 100%. Usikimbilie kubisha kabla ya kuchunguza kwanza.
Humu wamejaa great.thinkers wenye maono kataa wahuni
 
Ulikuwa hujui hilo mkuu? Na sio JF tu hata nje ya JF watanzania wote ni CCM. Hakuna mtanzania anapenda kuona CCM dhaifu ndo maana kwa wakati huu kelele ni kubwa kutoka kwa wanaojiita wapinzani kutaka CCM iteue wagombea ubunge wenye sifa.
Mgombea uraisi mwenye sifa halafu iruhusu mabadiliko ili wapatikane wabunge wa kuchaguliwa na wananchi nasio chama
 
Ndiyo, hivyo ndivyo ilivyo humu jf mpaka Sasa baada ya uchunguzi wangu wa kina. Hoja za upingaji na upondaji huja tu ikiwa Inategemea pale ccm juu amekaa nani na anasema au kufanya nini kinachotofautiana na mawazo au uelewa wa mwanaJF. Tofauti na hilo, wote humu ni wanaccm tu kwa hakika kwani wanaipenda haswaa.

Habari za gwajima na polepole na michango inayoendelea kuteremka humu kuhusu watu hao na furaha waliyonayo wapinzani, hususani chadema, vinathibitisha hivyo kuwa mioyoni mwao ipo ccm tu. Nimegundua ule ushindi wa 90+% ni sawa kabisa na sitoshangaa hata kidogo ikifika 100%. Usikimbilie kubisha kabla ya kuchunguza kwanza.
Nimeghaili safari yangu ngoja niketi sofani nisome maoni ya wachangiaji wa hii Nondo aise.
 
Ndiyo, hivyo ndivyo ilivyo humu jf mpaka Sasa baada ya uchunguzi wangu wa kina. Hoja za upingaji na upondaji huja tu ikiwa Inategemea pale ccm juu amekaa nani na anasema au kufanya nini kinachotofautiana na mawazo au uelewa wa mwanaJF. Tofauti na hilo, wote humu ni wanaccm tu kwa hakika kwani wanaipenda haswaa.

Habari za gwajima na polepole na michango inayoendelea kuteremka humu kuhusu watu hao na furaha waliyonayo wapinzani, hususani chadema, vinathibitisha hivyo kuwa mioyoni mwao ipo ccm tu. Nimegundua ule ushindi wa 90+% ni sawa kabisa na sitoshangaa hata kidogo ikifika 100%. Usikimbilie kubisha kabla ya kuchunguza kwanza.
Kwa hiyo lucas siyo CCM? Habubujikwi na machozi?utakuwa mda wake sahihi wa kutekwa
 
Ulikuwa hujui hilo mkuu? Na sio JF tu hata nje ya JF watanzania wote ni CCM. Hakuna mtanzania anapenda kuona CCM dhaifu ndo maana kwa wakati huu kelele ni kubwa kutoka kwa wanaojiita wapinzani kutaka CCM iteue wagombea ubunge wenye sifa.
Ccm inategemea
Ujinga wa watanzania
TISS
POLICCM
Mahakama
Msajili wa vyama ( nyahoza na ofisi yake)
Nec
Bila hivyo chama hicho hakina uwezo wa kushindana na vyama vingine kwa hoja zenye ushawishi na za kueleweka mbele ya umma.
Chama hicho kikizidiwa hujificha nyuma ya hivyo vyombo nilivyotaja hapo juu
 
JK Akifa nitajiunga CCM
Ni kwenda kuchukua kadi ya chama na kuanza kuhudhuria vikao vyao, unakua unawapa changamoto za hapa na pale hadi waelewe.

Ukifanikiwa kuujua mfumo unapata members tu watakao kataa wahuni. Akili ingine itakuja ukishaujua mfumo.
 
Kamaa ukifanya yale watanzania wanataka, ushindi huo ni lazima upate hata asilimia 99unapata.

Shida inakuja pale utakapofanya kinyume na matakwa ya watanzania na wao wanataka chama chao kifanye vizuri na si vinginevyo.

Upinzani bado hawajajipanga, upinzani mwaka huu ungekua kama ule wa 2015, upinzani wa bila Lowasa na Mbowe, wangebeba nchi mapema sana.

Lisu pamoja na kua mpinzani anaejitoa, watu wanamashaka na uzalendo wake. Lisu si kama Mrema wa NCCR Mageuzi enzi za miaka ya 1995
Wewe ndo unamashaka naye CCM wanajua Lisu ni mzalendo Hana doa wakimwacha anaangusha CCM asubuhi
 
Ndiyo, hivyo ndivyo ilivyo humu jf mpaka Sasa baada ya uchunguzi wangu wa kina. Hoja za upingaji na upondaji huja tu ikiwa Inategemea pale ccm juu amekaa nani na anasema au kufanya nini kinachotofautiana na mawazo au uelewa wa mwanaJF. Tofauti na hilo, wote humu ni wanaccm tu kwa hakika kwani wanaipenda haswaa.

Habari za gwajima na polepole na michango inayoendelea kuteremka humu kuhusu watu hao na furaha waliyonayo wapinzani, hususani chadema, vinathibitisha hivyo kuwa mioyoni mwao ipo ccm tu. Nimegundua ule ushindi wa 90+% ni sawa kabisa na sitoshangaa hata kidogo ikifika 100%. Usikimbilie kubisha kabla ya kuchunguza kwanza.
Kwa hio usaidiwe vipi?
 
Back
Top Bottom