Hitimisho la Kesi: Final, Nimemalizana na ishu za mahakama Kuhusu Talaka

Hitimisho la Kesi: Final, Nimemalizana na ishu za mahakama Kuhusu Talaka

Fanton Mahal una madini fulani hivi ambayo huwa yananipa maswali ya kuwa wewe ni mtu wa namna gani. Jasiri,mthubutu na usiyeshindwa.

Natamani siku moja nikutane nawe japo lisaa limoja tu unipe mbinu za namna ya kufika ulipo wewe! Napenda kujifunza kutoka kwa watu wenye akili kubwa kama wewe mkuu.

Ubarikiwe mara dufu mkuu.
Ahahah. Mkuu shukrani. Tupo pamoja hapa hapa jukwaani chief
 
Linapokuja suala wanandoa kutalikiana huwa hakuna mshindi,upande unaoathirika ni watoto na ndiyo unaoumia sana. Inaumiza sana ila huwa hatuzungumzi.
Uko sahihi kabisa mkuu. Japo watoto pia huwathirika kulelewa katika ndoa yenye changamoto na migogoro.
So kuna namna ya kukabiliana na haya na ninafanya hili kwq commitment ya 100%
 
Innocent until proven guilty Ndio wazungu wanavyosema....Robo 3 ya thread inaonesha wewe Kutia Huruma uonekane Victim..Haiwi Habari kamili mpaka pande zote zisikilizwe Hatujasikia ya upande wa pili na hatuwezi kusikia lakini Mpaka Mwanamke aombe Talaka ujue kuna mambo tunakwama sana wanaume..Japo umejaza Chai nyingii uonekane Mwamba
Ni wewe tu kuachagua kuamini au lah mkuu. Viewer secretion is highly advised. Hulazimishwi kuamini na hujakatazwa kutafuta habar upande wa pili
 
Back
Top Bottom