Hitimisho: CHADEMA kuna ombwe la uongozi

Hitimisho: CHADEMA kuna ombwe la uongozi

Blah blah blah...

Mnaacha kudiscuss matatizo ya nchi kama kufifia kwa democrasia nchini,viashiria vya udikteta,kupuuzwa kwa katiba,mihimili ya serikali kuingiliana kwenye kutimiza wajibu wake etc

Mnakazana na mambo ya chadema hivi, chadema vile.
Kwani kua chama kingine ndio tiketi ya kujitoa ufahamu, ifike kipindi hata kama hamna uwezo wa kufikiri basi walau mpretend mnaweza kufikiri.

Sasa umeandika nini hapa! mbaya zaidi unamhushisha Mungu na mambo ya mipasho,seriously!?!?

Jifunzeni kujenga hoja ili hata huko mjengoni muwe mnasupport mambo ya maana.
Huwa najifikiria sana inakuaje mtu kama kibajaji kila akiongea upuuzi watu wanagonga meza na kushangilia?

Leo nigundua tatizo hamna ma think tank...hamna watu wenye uwezo wa kuja na mada zenye maana na mantiki.
ukosefu wa uwezo wakujenga hoja zenye mashiko, outcome ndio andiko kama hili.
Mkuu hao watu soma post zao lkn story zao ni zaidi ya riwaya za nchi ya Wagagagigikoko!Hawatumii akili zao,wame hand over kwa Mkuu wao!Hivi mtu gani mwenye akili timamu umehama chama,huko ulikoenda wamekupa ubunge bado unawafuafuata waliokufanya ujulikane lengo lako ni nini?kama si ujuha?
 
Mkuu mpenzi wako wa kwanza ni ngumu kumsahau.....
Na nakubaliana na wewe kwamba hawa watu wanaendeshwa kwa remote.
Mkuu hao watu soma post zao lkn story zao ni zaidi ya riwaya za nchi ya Wagagagigikoko!Hawatumii akili zao,wame hand over kwa Mkuu wao!Hivi mtu gani mwenye akili timamu umehama chama,huko ulikoenda wamekupa ubunge bado unawafuafuata waliokufanya ujulikane lengo lako ni nini?kama si ujuha?
 
Mkuu dada Shonza katoa hoja wenye mtiririko mzuri wa kueleweka naomba ninukuu"CHADEMA KUNA OMBWE LA UONGOZI" na katoa sababu zake nyingi tu.

Wasi wasi wangu kuanza kumshambulia mtoa mada personally badala ya kujibu hoja kwa hoja mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ofisi zao ziko mtaa wa ufipa nenda kazibe hilo obwe!Kumbuka mtoa hoja ni mbunge wa viti maalumu.Je anatamani kuiona Chadema ikiwa imara?
 
mama pambana na uyuda wako chadema haikulipi posho
 
It is time you mind your own business.Issue za CHADEMA tuachie wenyewe ,tutamjudge mtu kulingana na performance yake.

Hata huko Bungeni wewe mweneywe zaidi ya kutukana wabunge wa Upinzani,hujafanya chochote kinachoonyesha kwa watanzania wengine.

Ukiufunga mdomo wako utatusaidia sana wengi wetu.

Usituamulie mambo kutokana na mawazo yako.Badala ya kufanya kazi iliyokupeleka Bungeni uko Busy kupigana na watu wazima waliokuzidi umri kisa ni wapinzani.Shame upon you.Disgusting member of parliament

Msimamo wa watanzania walio wengi ni kwamba mpaka sasa hatujaona alichofanya JPM zaidi ya kuweka wapinzani wake ndani,na adui zake kuwafungulia mashtaka,kuajiri ndugu na jamaa zake hiki ndicho alichoweza kufanikiwa nacho.

Poor you
Msimamo wa Tanzania waliowengi ume-gauge vipi? mnakaa kwenye vijiwe vyenu vya kanda ile, mnapata illusions halafu mnaleta hapa.
 
Hivi mtu ukishahama chama halafu bado unaendelea kukifuatilia hii maana yake ni nini? Mi nadhani unatamani kurudi ila hujui uanzaje otherwise utakuwa mchawi.
 
Umenifurahisha sana hapo nchi imetulia,nchi inasonga mbele na watanzania wameendelea kushuhudia UONGOZI uliotukuka
Ki ukwel ccm inatakiwa iwafundishe hawa ndgu zang vyama vinapodai democracy vianze kuonyesha democracy ndan yake ..CHADEMA kikanda CHADEMA mwenyekiti hanyoshewi kidole kisa mchaga
.
.
.
kyenekyaka nkighanile une


Sent using Jamii Forums mobile app
Tetetetee wema sepetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu bibi kila siku anaiota CHADEMA. Get a life lady.
 
Miundombinu mibovu, Elimu bado duni, Huduma mbovu za Afya, Uchafu uliokithiri kwenye miji yetu, Umeme usiotoshereza, kushindwa kuutilize resources tulizonazo wenyewe, Ukosefu wa maji safi na salama, Shule za msingi za serikali hazina vyoo, Rushwa na wizi wa mali za umma umekithiri, Bajeti ya nchi haitosherezi, Nchi bado tegmezi kwa wahisani, Uwiano mdogo wa kuishi kwa mtanzania, kilimo duni, nk, nk,nk,nk,nk,nk,nk,nk,nk,nk,nk,nk,nk,nk,nk,nk,nk,nk,nk,nk..

Hayo yoooote hapo juu tukishirikiana kwa pamoja kupambana na watawala yataisha, ila tukiendeleza unafiki kama ulivyokuwa toka 1961 basi hayo matatizo yataendelea kuwepo milele na milele na yataendelea kutumika kama mtaji..

Ukiwa kama mbunge unayejielewa hayo kwenye paragraph ya kwanza ndio ingekuwa vita yako kila kukicha dhidi ya serikali kuanzia bungeni mpaka huku kwenye mitandao..

Kuendelea kupoteza muda na rasimali kupambana na chadema hakuwezi kumaliza matatizo ya watanzania, kama yale yoote kwenye paragraph ya kwanza yangekuwa hayapo basi tungekuwa na muda wa kupambana na Chadema, Chadema silaha yao kubwa na msingi wao mkubwa ni kwa CCM kushindwa kutekeleza yale kwenye paragraph ya kwanza..

Mungu ibariki Tanzania.
CHADEMA ??????????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nani anafikiri kuwa ipo siku CCM na CHADEMA watakua meza moja kushangilia ahadi zilizotolewa na kutekelezwa na CCM?
Nani anaamini kuwa sifa zinazotumika kumteua kiongozi wa chama cha hupinzani huakisi masilahi ya taifa na sio masilahi ya chama?
Tutajuaje kuwa dhamira ya hoja motomoto zinazotolewa na mwanasiasa wa aidha CCM au CHADEMA zitalenga kulitetea taifa hata kama zitaathiri masilahi ya chama chake?
Je kama mtazamo wetu sote ni kujenga taifa lenye demokrasia ya kila mmoja kutoa mawazo yake na kuwa upande wowote wa kisiasa unaoambatana na utawala bora wa sheria kwa nini baadhi ya vyama vizuiwe kufanya mikutano yao hata ya ndani na vingine viruhusiwe?
TUSIDANGANYANE KILA MTU ANA LAKE JAMBO KWA KILA UPANDE ALIOPO,PANDE MBILI ZINAZOPINGANA NI KWA AJILI YA MATUMBO YAO TU.
 
Ungetumia muda wako na Rasilimali kutafuta jimbo ili upambane na hao wanaoongozwa na Hilo ombwe. Tuone kama utatoboa.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom