Miundombinu mibovu, Elimu bado duni, Huduma mbovu za Afya, Uchafu uliokithiri kwenye miji yetu, Umeme usiotoshereza, kushindwa kuutilize resources tulizonazo wenyewe, Ukosefu wa maji safi na salama, Shule za msingi za serikali hazina vyoo, Rushwa na wizi wa mali za umma umekithiri, Bajeti ya nchi haitosherezi, Nchi bado tegmezi kwa wahisani, Uwiano mdogo wa kuishi kwa mtanzania, kilimo duni, nk, nk,nk,nk,nk,nk,nk,nk,nk,nk,nk,nk,nk,nk,nk,nk,nk,nk,nk,nk..
Hayo yoooote hapo juu tukishirikiana kwa pamoja kupambana na watawala yataisha, ila tukiendeleza unafiki kama ulivyokuwa toka 1961 basi hayo matatizo yataendelea kuwepo milele na milele na yataendelea kutumika kama mtaji..
Ukiwa kama mbunge unayejielewa hayo kwenye paragraph ya kwanza ndio ingekuwa vita yako kila kukicha dhidi ya serikali kuanzia bungeni mpaka huku kwenye mitandao..
Kuendelea kupoteza muda na rasimali kupambana na chadema hakuwezi kumaliza matatizo ya watanzania, kama yale yoote kwenye paragraph ya kwanza yangekuwa hayapo basi tungekuwa na muda wa kupambana na Chadema, Chadema silaha yao kubwa na msingi wao mkubwa ni kwa CCM kushindwa kutekeleza yale kwenye paragraph ya kwanza..
Mungu ibariki Tanzania.