laki si pesa.
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 9,984
- 9,757
vibendera wa CHADEMA kwa mipasho balaa...badala ya kujibu hoja ni kashfa tu...hahahhhahha
Sasa huko CCM kuna mtu gani mwenye uwezo wa kufikiri sawasawa kama uwaziri tu, anapewa mtu ambaye kwa akili nyingi alizo tumia ana conclude kumiliki cherehani nne ni sawa na kua na kiwanda!Wahenga wanao msemo wao maarufu, "nyani haoni kundule" Vijana wa ufipa mnazungumzia kukosa think tank..seriously..???
Ndugu yangu, kama ni mtu mstaarabu utaelewa kwanini nimeanza thread yangu kwa kuomba msamaha na kuwataka radhi wanajamvi, ninayo majukumu mengi. Wakati mwingine majukumu hayo yananinyima fursa hii muhimu ya kuungana nanyi kwenye jukwaa hili.
MUNGU akiniwezesha kumaliza shule yangu vizuri na kukamilisha majukumu yangu ya ubunge, nitapata fursa ya kutosha ya kujadili hapa. Lakini kwa wito huo huo naomba uwaambie pia akina LEMA, LISU na wengine ambao nao huwa wanaandika na kupotea mpaka wapate wasaa mwingine wa kuandika upupu wao tena, tuwakumbushe pia.
Kama ulitumia jasho kukijenga wasingekufukaza dada, Danganya wajinga kwa sababu huo ndio mtaji wenu.Kama nia yako ni kutaka kuelewa naomba nikujibu kama ifuatavyo, kwa taasisi hasa taasisi ya kisiasa uimara wake na ubora unategemea maono na fikra za kiongozi wake wa juu kabisa kwa maana ya Mwenyekiti. Ndio maana wakati fulani msemo maarufu wa "Zidumu fikra za Mwenyekiti" ulitamalaki, unareflect ukweli halisi kuwa Mwenyekiti ndio moyo wa Chama cha siasa, akiyumba na Chama kinayumba na akiwa madhubuti na chama kitakuwa madhubuti.
Kuhusu kuumia, naomba nikujibu honestly CHADEMA kuna jasho langu, zipo nguvu zangu nyingi nilitumia kuhakikisha kinasimama na kinakuwa chama cha maana, nasikitika kuona wapo manyang'au wamevamia na kujitwalia chama iko wanajitangaza ugombea wa milele na hakuna wa kuwauliza jambo wala kusema kitu, naumia zaidi ninapoona mtu ambaye tulimuamini ameendelea kupotoka na kuwa wa hovyo. CHADEMA ni zaidi ya Mbowe, ni kubwa mno kuliko maslahi ya mtu na familia yake ndivyo tulivyokuwa tukiamini na kuaminisha wengine lakini manyumbu wamegeuza imani hiyo, wanaitumia CHADEMA kwa maslahi yao, wao ndio CHADEMA na CHADEMA ndio wao, hakuna nafasi kwa mawazo mengine, ama mtu mwingine kuleta mtazamo ama maono yanayokinzana na ya kwao. Hawa ni watu wanaopaswa kukemewa, na ndio maana nawakemea.
Wakili jibu hoja sio kumshambulia mtu.Mbunge wa Vitu Maalum! Kwa kuendelea kukesha na CHADEMA,wewe ni mamluki huko CCM. Wakikushtukia,utalia na kusaga meno. Songwe utaiona kwenye runinga. Wewe huna tofauti,katika utapeli wa kisiasa,na Mchange.
Mnapeana zamu?
Kwa akili zako na za wanaccm wote ni vigumu sana kuutokomeza upinzani. CCM bila kuiba kura, kubebana na polisiccm ni wepesi kama unyoya.Wahenga wanao msemo wao maarufu, "nyani haoni kundule" Vijana wa ufipa mnazungumzia kukosa think tank..seriously..???
Hoja zipi? Yeye kakwambia kwmba unatakiwa ufurahie so why uaze kuonesha mahaba kwa chadema tena we ni mbunge wa CCM?
Huyu mwanamke atajuta kwann alitoa uzi humu. Ataomba mpaka mods waufute uzi wake.
Mkuu linalojitokeza kwao ndio madhara ya kubadilisha gia angani.Sku zote kama ww ni mwanaharakati na ili ufanikishe lazma uwe na falsafa inayoeleweka mbele ya hadhira. Hapo ndipo utapata watu wakukuunga mkono.
Lakn usipokuwa na falsafa inayoeleweka utakuwa unapoteza nguvu yako bure.
Angalia revolution za akina Mao ze dong , vradimir ilych Lenin.
Walikuwa na misimamo juu ya kile wanachokipigania.
Hata ukiwasima akina Karl max wanasisitiza juu ya falsafa inayeleweka.
Wenzetu hapo mwanzo waliaminiwa sana baada ya kuanza kupiga vita ufisadi na wakawa wanaelezea kwa mifano hai na mpaka wananchi wakawaelewa lakn Mara ghafla wao wanaita gia angani wakabadili maada mpaka wale waliokuwa wanawatolea mifano wakawasafisha ..
Atakayeweza kuwaelewa hapo labda ni maiti pekee
Akikujibu mkuu naomba uni tagHakikisha umeelewa vzr ndio ujibu hoja. Mpaka mwaka 1945 china ilikuwa na uchumi mbovu kuliko hata Tanzania.
Lakn baada ya vita ya dunia ndio wakajitokeza wanaharakati kuanza kupigania mapinduzi. Msimamo wao ukikuwa ni kutokomeza unyonyaji na kuimarisha ujamaa.
Kutokana na mao kusisitiza mapinduzi ya kijamaa huku akiungwa mkono vzr na wakulima na wafanyakazi ndio iliyopelekea kufanikishwa mapinduzi yake.
Umeniuliza kuhusu chadema je Leo hii chadema wanazungmzia tena ufisadi?
Je zile casestud zake za ufisadi ambazo ambazo zilikuwa zikizungumzwa hazarani Leo anazingumzia tena?
Ukiwa mwlm unavyomfundisha mwanafunzi kuwa herufi A inasifa hizi akakuelewa na kesho tena ukaja kumbadlishia sifa za hyo herufi hataweza kukuelewa.
Mkuu dada Shonza katoa hoja wenye mtiririko mzuri wa kueleweka naomba ninukuu"CHADEMA KUNA OMBWE LA UONGOZI" na katoa sababu zake nyingi tu.Hoja zipi? Yeye kakwambia kwmba unatakiwa ufurahie so why uaze kuonesha mahaba kwa chadema tena we ni mbunge wa CCM?
Sent using Jamii Forums mobile app