Companero
Platinum Member
- Jul 12, 2008
- 5,604
- 1,704
Wapo wanaosema tunahitaji utawala bora. Wengine wanadai tunahitaji viongozi bora. Wote wanasahau hitaji kuu la Tanzania na Watanzania.
Watanzania wanahitaji msukumo. Wanahitaji kutiwa moyo. Wanapaswa kuzinduliwa.
Wananchi wamekataa tamaa. Wamekosa mwelekeo. Wanahitaji Dira.
Wana wa Afrika wanataka Uongozi wenye msukumo. Wanahitaji dira ya kuwasukuma mbele. Wanalililia Azimio la Arusha.
-----------------------------------
"All this we can do. All this we will do" - The Inspirational Barack Hussein Obama
Watanzania wanahitaji msukumo. Wanahitaji kutiwa moyo. Wanapaswa kuzinduliwa.
Wananchi wamekataa tamaa. Wamekosa mwelekeo. Wanahitaji Dira.
Wana wa Afrika wanataka Uongozi wenye msukumo. Wanahitaji dira ya kuwasukuma mbele. Wanalililia Azimio la Arusha.
-----------------------------------
"All this we can do. All this we will do" - The Inspirational Barack Hussein Obama