Hit squad: Picha imekamilika kuchorwa

Hit squad: Picha imekamilika kuchorwa

mshana jr imefikia hatua natamani nisingekua na elimu yoyote ya ung'amuzi wa mambo labda ningekua na amani maishani. Kujua mambo (tena ukajua yale wasiyotaka ujue) kunakuweka katika wakati mgumu sana. Unaweka maisha yako hatarini; maisha yanakosa ladha, yanakosa uhuru...unaandamwa na kihoro na hofu kubwa. Mshana unalipia gharama ya "kujua".
Na hii hali inanitesa kwakweli
 
Ukisikia Selasini mbunge wa Rombo alivyoongea kwa uchungu ni dhahiri vita ya kikanda na kikabila itaanza soon, najua sio vita ya kutumia silaha na kutoana damu, vita ya chuki za rohoni kati ya yule na yule
mkuu acha yani mpaka selasini kaongea na tena kwa hisia kali kweli mwisho sasa watu watashindwa kuvumilia
 
Ndio maana nikasema ni conspiracy theory kuwa jamaa ni pandikizi, baadhi ya watu waliofuatilia Hansard za bunge miaka ya 2010-2013 wanadai hivyo
Mmh pengine ila tunaishi nyakati tofauti mno na hizo za kipindi hicho
 
Mshana jr nauza simu Samsung s3 150,000 / = tu nisaidie kupata mteja
IMG-20171005-WA0011.jpeg
 
Muda utafika kila jambo litakua wazi.

natamani kuchangia ya moyoni lakini naogopa ngoja niwe mpenzi mtazamaji ingawa najua huu uzi utafutwa sasa hivi na walamba miguu wa mungu mtu!

Ukisikia Selasini mbunge wa Rombo alivyoongea kwa uchungu ni dhahiri vita ya kikanda na kikabila itaanza soon, najua sio vita ya kutumia silaha na kutoana damu, vita ya chuki za rohoni kati ya yule na yule

Huyu jamaa kuna conspiracy theory kuwa ni mtu wa system(pandikizi). Ila muda utaongea vizuri, niishie hapa!

Huyu jamaa kuna conspiracy theory kuwa ni mtu wa system(pandikizi). Ila muda utaongea vizuri, niishie hapa!
 
Back
Top Bottom