Hit squad: Picha imekamilika kuchorwa

Hit squad: Picha imekamilika kuchorwa

Mwanzoni tuliona mistari mistari tu... Na kwa hakika hatukujua kama ni mchoro wa nini, na umeanzia wapi.... Lakini akapotoea Ben Saanane,! Ya kamanda Mawazo na Mwangosi yanajulikana yako wazi kabisa
Picha iakendelea kujichora taratibu, zikaja maiti za ruvu.. Mambo yakazidi kusonga.... Watu wakawa wanatishiwa maisha live, kufuatiliwa na kudukuliwa mawasiliano yao

Picha ikaanza kujitokeza formation yake... Tuliodhani ni picha tu ya kawaida ya pundamilia tukabaki midomo wazi baada ya kugundua ni lipicha litishalo sana la dubwana kubwa lenye maguvu mengi na katili kabisa
LIssu akamiminiwa risasi za kutosha, Mungu ni mwema... Lissu kasalimika japo kabaki na majeraha makubwa
Kalamu ya picha letu tuliiona wino wake na wachoraji wake siku Nape alipotolewa cha moto live.....
Picha letu limekamilika sasa bado kutia sahihi tu na kukoleza rangi
Kila kitu kiko hadharani sasa waliongozwa na ukatili wakasahau weledi katika kutimiza ukatili wao.. Wameacha alama kila walikopita na picha imekamika... Tukae mkao wa kuiona picha yetu katika uhalisia wake

Kila nikitaka kuchangia kii bodi inagoma duh... ngoja nirekebishe nitarudi
 
Ujumbe wangu kwa watawala na wanao waunga mkono katika mfumo huu wa ubinyaji haki na uhuru wa watanzania!! Binaadamu sio mnyama mpore na unaeweza kumtawala kirahisi, utamsumbua na kumtesa kwa kila aina ila akisema inatosha hua harudi nyuma, Pili Dunia ya Sasa sio ile ya 1961-1980 watanzania wengi wanaufahamu mkubwa pengine kuliko hata wanaotukandamiza!! Hakika mnatengeneza mazingira magumu kwenu na si kwa mnaowakandamiza, hao wanaowasapoti ambao kwa kiasi kikubwa wameanza kuungana na mnao wakandamiza mwisho wake utakua mbaya sana!!
 
Ni kweli Naangalia hii movie ila sasa nataka nitoke nje na mlango siouni...
 
Lakini Mshana Jr ukumbuke haya mambo hayakuanza leo wala jana, yamekuweko toka uhuru lakini yaliongezeka na kusambaa zaidi katika kipindi cha miaka 8 iliyopita. Katika Awamu hii ya 5 yameongezeka kwa idadi na utokeaji wake.
Kuhusu kwamba wameacha alama zao nadhani huo ni mpango wa Mungu tu ili kutufungua macho.

Ndio maana tunataka na kuhitaji Katiba Mpya kama nchi ili tutoke hapo. Alas! Terror state is who we are rapidly becoming.
 
Hiyo vita ipo akilini kwako tu mkuu, na ukaamua kuileta hapa jf, ila nchi iko shwari kabisa, raia tunaishi kwa amani na tunafanya mambo yetu. nyie ambayo maslahi yenu yamebanwa pambaneni na hali zenu. kamwe hatutawaunga mkono.
Ni kweli unayozungumza ukiwa upande wa maslahi. Yakigeuka nawe hutawaunga mkono, ni vizuri kutumia akili yako ila inategemea asili yako.Mungu ibariki Tanzania
 
Lakini Mshana Jr ukumbuke haya mambo hayakuanza leo wala jana, yamekuweko kwa zaidi ya miaka 8 sasa. Sana sana yameongezeka kwa idadi. Kwamba wameacha alama nadhani huo ni mpango wa Mungu tu kutufungua macho.

Ndio maana tunataka na kuhitaji Katiba Mpya kama nchi ili tutoke hapo. Terror state is who we rapidly are becoming.
Ni kweli ila wa nyuma walikuwa makini zaidi japo nao waliacha alama za hapa na pale
 
Ujumbe wangu kwa watawala na wanao waunga mkono katika mfumo huu wa ubinyaji haki na uhuru wa watanzania!! Binaadamu sio mnyama mpore na unaeweza kumtawala kirahisi, utamsumbua na kumtesa kwa kila aina ila akisema inatosha hua harudi nyuma, Pili Dunia ya Sasa sio ile ya 1961-1980 watanzania wengi wanaufahamu mkubwa pengine kuliko hata wanaotukandamiza!! Hakika mnatengeneza mazingira magumu kwenu na si kwa mnaowakandamiza, hao wanaowasapoti ambao kwa kiasi kikubwa wameanza kuungana na mnao wakandamiza mwisho wake utakua mbaya sana!!
Fear creates HATE!
 
kama picha imekamirika nadhani unaweza kwenda kuisaidia kamati ya upelelezi!
 
Mwanzoni tuliona mistari mistari tu... Na kwa hakika hatukujua kama ni mchoro wa nini, na umeanzia wapi.... Lakini akapotoea Ben Saanane,! Ya kamanda Mawazo na Mwangosi yanajulikana yako wazi kabisa
Picha iakendelea kujichora taratibu, zikaja maiti za ruvu.. Mambo yakazidi kusonga.... Watu wakawa wanatishiwa maisha live, kufuatiliwa na kudukuliwa mawasiliano yao

Picha ikaanza kujitokeza formation yake... Tuliodhani ni picha tu ya kawaida ya pundamilia tukabaki midomo wazi baada ya kugundua ni lipicha litishalo sana la dubwana kubwa lenye maguvu mengi na katili kabisa
LIssu akamiminiwa risasi za kutosha, Mungu ni mwema... Lissu kasalimika japo kabaki na majeraha makubwa
Kalamu ya picha letu tuliiona wino wake na wachoraji wake siku Nape alipotolewa cha moto live.....
Picha letu limekamilika sasa bado kutia sahihi tu na kukoleza rangi
Kila kitu kiko hadharani sasa waliongozwa na ukatili wakasahau weledi katika kutimiza ukatili wao.. Wameacha alama kila walikopita na picha imekamika... Tukae mkao wa kuiona picha yetu katika uhalisia wake
mbona hakuna hata dalili za iyo picha kuchorwa? mm naona kama ni mawazi yako vileeee......kajipange afu try again later
 
mshana jr imefikia hatua natamani nisingekua na elimu yoyote ya ung'amuzi wa mambo labda ningekua na amani maishani. Kujua mambo (tena ukajua yale wasiyotaka ujue) kunakuweka katika wakati mgumu sana. Unaweka maisha yako hatarini; maisha yanakosa ladha, yanakosa uhuru...unaandamwa na kihoro na hofu kubwa. Mshana unalipia gharama ya "kujua".
 
Hiyo vita ipo akilini kwako tu mkuu, na ukaamua kuileta hapa jf, ila nchi iko shwari kabisa, raia tunaishi kwa amani na tunafanya mambo yetu. nyie ambayo maslahi yenu yamebanwa pambaneni na hali zenu. kamwe hatutawaunga mkono.
Ujue natamani sana kuwa kama wewe lakini nashindwa. Ukiwa huna maono wala ung'amuzi wa mambo lazima uishi kwa raha kama Stroke. Najuta kuwa "mjuaji" mimi.
 
Back
Top Bottom