- Thread starter
- #21
pole sana ndugu yangu, mungu atafanya njiaSijaipenda kuimalizia nimeishia kumpandisha ndeg roho ikaniuma mm naomba mungu ata nipate 1.5M tuu siku na umaskini ndio bai bai, kwan tunaojituma sana mungu huwa anatusahau au
pole sana ndugu yangu, mungu atafanya njiaSijaipenda kuimalizia nimeishia kumpandisha ndeg roho ikaniuma mm naomba mungu ata nipate 1.5M tuu siku na umaskini ndio bai bai, kwan tunaojituma sana mungu huwa anatusahau au
Wewe mchagga hujaacha tu tamaa ya pesa?!!Nimetamani ningekuwa mimi yani ningekupenda mpaka ukome kunijua
ndugu yangu usitake kugombana na keyboard hapa tunashare tu tuliyokutana nayo kimaisha, Usigombane na upepo
Sabuni ya roho .. unataka roho yangu iwe iwe chafu?Wewe mchagga hujaacha tu tamaa ya pesa?!!
Ile uliokuwa unapewa nauli unge-save utembee kwa miguu hadi upate hela ya alichokuomba.Nikiwa form three kuna msichana nilimtokea akanipa sharti ili anikubalie.
Akaniambia nimnunulie caro light (sina uhakika na inavyoandikwa) of course nilifeli hilo sharti na mpenzi nikakosa.
Sijui aliwaza nitatoa wapi elfu mbili ya caro light. It was madness. Nakumbuka siku najieleza na kupokea kibuti changu tulikua pale San Siro tumesimama.
Nikamuambia sasa unatarajia nipate wapi hela wakati wote wanafunzi akajibu we ni mwanaume ila kama umeshindwa kupambana basi siwezi kukukubalia.
Manina
Mungu atawabariki,kwani aliwapa bure na nyinyi mnatoa bure ndio uungwana huo.Wengine tunawapa buree kabisaaa, maisha siyo fair😃😃
Mkuu sharti lilikua na ultimatum. Aliniambia Jumamosi na Jumatatu niwe nishampelekea.Ile uliokuwa unapewa nauli unge-save utembee kwa miguu hadi upate hela ya alichokuomba.
Hako kalianza kudanga mapema sanaMkuu sharti lilikua na ultimatum. Aliniambia Jumamosi na Jumatatu niwe nishampelekea.
Mbona kashajifungua bossMkuu swali nje ya mada, vipi Kimada anajifungua lini?
Mimi ya kwangu niliokota begi la hela,ngoja nimalizie K . kubwa kubwa kwanzaNitarudi na yakwangu
Mbona kashajifungua boss