Muhidin Chedo
Member
- Apr 1, 2012
- 25
- 24
Hapo zamani sana ulaya mashariki,kulikua na kabila moja kubwa sana lilijulikana kama "Slavs".
Hawa walipatikana hasa ulaya mashariki mpaka soviet yote,hawa slavs walikua ni kabila kubwa sana ila lililogawanyika ktk koo ndogondogo (mfano,ni kama wabantu..kuna wabantu waliotoka afrika magharibi hadi kufika tanzania wakaanzisha ustaarabu wao wakaitwa wasukuma au wale wengne waliotoka ethiopia sahv wanaitwa wanyaturu,imebaki story tu walitoka uko ila ukiwambia ni wapi hasa wengi wao leo hawafahamu au hawajui kbs..
Au wale wanubi ambao kwa kenya na tanzania leo tunawajua kama wajaluo na kule sudan kusin wanaitwa wanuer ethiopia wakaitwa waoromo ila asili yao wote ni nubians). sasa hawa waslavs kuna koo moja ambayo ilikua ikinyanyasika sana na kudharaulika ktk miongon mwao, ilikua ni jamii ya hali ya chin sana,walifanywa watumwa na kutopewa hadhi sawa na wazungu wengine..kwakifupi lilikua ni tabaka la chin sana.. miaka ilipoenda s sana, wakati wa uislam kujisambaza dunian hadi kufika ulaya,hawa jamaa walichukua fursa
Hawa walipatikana hasa ulaya mashariki mpaka soviet yote,hawa slavs walikua ni kabila kubwa sana ila lililogawanyika ktk koo ndogondogo (mfano,ni kama wabantu..kuna wabantu waliotoka afrika magharibi hadi kufika tanzania wakaanzisha ustaarabu wao wakaitwa wasukuma au wale wengne waliotoka ethiopia sahv wanaitwa wanyaturu,imebaki story tu walitoka uko ila ukiwambia ni wapi hasa wengi wao leo hawafahamu au hawajui kbs..
Au wale wanubi ambao kwa kenya na tanzania leo tunawajua kama wajaluo na kule sudan kusin wanaitwa wanuer ethiopia wakaitwa waoromo ila asili yao wote ni nubians). sasa hawa waslavs kuna koo moja ambayo ilikua ikinyanyasika sana na kudharaulika ktk miongon mwao, ilikua ni jamii ya hali ya chin sana,walifanywa watumwa na kutopewa hadhi sawa na wazungu wengine..kwakifupi lilikua ni tabaka la chin sana.. miaka ilipoenda s sana, wakati wa uislam kujisambaza dunian hadi kufika ulaya,hawa jamaa walichukua fursa