Historia ya vituo vya kujaza mafuta

Princemwalejr

JF-Expert Member
Nov 9, 2017
496
488
Zamani vituo vya kujaza mafuta vilikuwa vinaitwa vituo vya huduma (service station). Unabaki ndani ya gari. Mhudumu anajaza mafuta. Anasafisha vioo anapima oil na vitu vya aina hiyo.

Kwa Marekani vituo vya aina hii siku hizi unaweza kukutana navyo kwenye vituo vya mafuta vya nje ya miji. Sehemu kama Kibaha.

Kwa Tanzania utaratibu huu unaendelea ingawaje hawatoi huduma zaidi ya kujaza mafuta. Huduma nyingine wanayotoa ni kulalamikiwa kuiba mafuta.

Kwa siku hizi mafuta unajaza mwenyewe. Kama wewe ni kibosile unaacha dereva wako akujazie mafuta. Au kama uko na wife wako mara nyingi utaona aibu kumuacha yeye ajaze mafuta hata kama yeye ndio dereva.

Hapo unaikontrol pump mwenyewe na unaweza kulipa hapo hapo kwenye pump kwa kutumia kadi yako. Hapo hakuna lalam za kusema nimeibiwa mafuta.
 
723d33a34633b092c48730359a88529e.jpg


Huyo babu ni muhudumu na sare yake ya kazi.

544292cab2659f44040b7be44eef2a74.jpg


Siku hizi unajaza mwenyewe.
 
Bei inatangazwa kwa maandishi makubwa.

ad6fc433fb9edf4212a222144b1096be.jpg


Kwenye pump hakuna muhudumu. Ukitaka kulipa keshi unaingia ndani ya kituo unalipa kwa keshia.

Ni hivyo hakuna mwenye boda boda atakaejaziwa mafuta uliyonunuwa kwa wizi. Na pump ikizingua utajua haraka sana.
 
Zamani vituo vya kujaza mafuta vilikuwa vinaitwa vituo vya huduma (service station). Unabaki ndani ya gari. Mhudumu anajaza mafuta. Anasafisha vioo anapima oil na vitu vya aina hiyo.

Kwa Marekani vituo vya aina hii siku hizi unaweza kukutana navyo kwenye vituo vya mafuta vya nje ya miji. Sehemu kama Kibaha.

Kwa Tanzania utaratibu huu unaendelea ingawaje hawatoi huduma zaidi ya kujaza mafuta. Huduma nyingine wanayotoa ni kulalamikiwa kuiba mafuta.

Kwa siku hizi mafuta unajaza mwenyewe. Kama wewe ni kibosile unaacha dereva wako akujazie mafuta. Au kama uko na wife wako mara nyingi utaona aibu kumuacha yeye ajaze mafuta hata kama yeye ndio dereva.

Hapo unaikontrol pump mwenyewe na unaweza kulipa hapo hapo kwenye pump kwa kutumia kadi yako. Hapo hakuna lalam za kusema nimeibiwa mafuta.
hahahah eti "huduma nyingine wanayotoa ni kulalamikiwa kuiba mafuta
 
Zamani vituo vya kujaza mafuta vilikuwa vinaitwa vituo vya huduma (service station). Unabaki ndani ya gari. Mhudumu anajaza mafuta. Anasafisha vioo anapima oil na vitu vya aina hiyo.

Kwa Marekani vituo vya aina hii siku hizi unaweza kukutana navyo kwenye vituo vya mafuta vya nje ya miji. Sehemu kama Kibaha.

Kwa Tanzania utaratibu huu unaendelea ingawaje hawatoi huduma zaidi ya kujaza mafuta. Huduma nyingine wanayotoa ni kulalamikiwa kuiba mafuta.

Kwa siku hizi mafuta unajaza mwenyewe. Kama wewe ni kibosile unaacha dereva wako akujazie mafuta. Au kama uko na wife wako mara nyingi utaona aibu kumuacha yeye ajaze mafuta hata kama yeye ndio dereva.

Hapo unaikontrol pump mwenyewe na unaweza kulipa hapo hapo kwenye pump kwa kutumia kadi yako. Hapo hakuna lalam za kusema nimeibiwa mafuta.
Oljiijjikiojimkijikiooiioonuhknlopoooooooonujipnohugjob puny I hip ok
Zamani vituo vya kujaza mafuta vilikuwa vinaitwa vituo vya huduma (service station). Unabaki ndani ya gari. Mhudumu anajaza mafuta. Anasafisha vioo anapima oil na vitu vya aina hiyo.

Kwa Marekani vituo vya aina hii siku hizi unaweza kukutana navyo kwenye vituo vya mafuta vya nje ya miji. Sehemu kama Kibaha.

Kwa Tanzania utaratibu huu unaendelea ingawaje hawatoi huduma zaidi ya kujaza mafuta. Huduma nyingine wanayotoa ni kulalamikiwa kuiba mafuta.

Kwa siku hizi mafuta unajaza mwenyewe. Kama wewe ni kibosile unaacha dereva wako akujazie mafuta. Au kama uko na wife wako mara nyingi utaona aibu kumuacha yeye ajaze mafuta hata kama yeye ndio dereva.

Hapo unaikontrol pump mwenyewe na unaweza kulipa hapo hapo kwenye pump kwa kutumia kadi yako. Hapo hakuna lalam za kusema nimeibiwa mafuta.
 
Huku kwetu kila kituo ni shell.
Iwe ni Kobil tunaita shell
Iwe TOTAL nayo ni shell
Hata BP nayo ni Shell
 
77a54c36f14078be5371408bb40673e7.jpg


Kituo cha kwanza mafuta kilianzia hapo nchini Marekani katika jimbo la Indiana mwaka 1880. Jamaa alikuwa anaitwa Sylvanus Freelove. Yeye alikuwa anauza mafuta ya taa kwa kutumia hizo pampu za kijima zenye kijisaa juu ndio mita ya pump.
 
Back
Top Bottom