Duduvwili
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 3,904
- 3,821
Dah DMI kitambo Namkumbuka sana Mwal wangu Capt Katandula Popote ulipo salute CaptMPAKA LEO MABAHARIA WA D.M.I NEW PORT NEW WIFE
Dah DMI kitambo Namkumbuka sana Mwal wangu Capt Katandula Popote ulipo salute CaptMPAKA LEO MABAHARIA WA D.M.I NEW PORT NEW WIFE
Baharia wa kike akiwa ghetto kwakeView attachment 1203076
Haya mambo hayahitaji hasira, hii ni lugha inayoishi.
Wewe endelea kuabudu fedha. Endelea kuhisi baharia hana hela.
Limekaa kihuni huni tu.
Ila wengi wako kimasihara zaidi.
Ah sasa si nyie wenyew ndio mnajilengesha kuja
Tena mnalazimisha kuja gheto!
Tena ukikuta jamaa yupo mambo safi ndio unahamia kabisa
Huenda wamo huku watajibuMimi pia nasubiria majibu
Wakware si watanashati sasa mbona naona mtaani hata wachafu wanaitana mabahariaWakware
Lakini huenda kuna wanachomanisha ndani yakeVijana wa siku hizi wanafurahisha sana. Wakishikilia msemo utafikiri ni neno jipya. Sasa neno jipya kwao ni baharia
Aisee mabaharia kama ndio hao basi tena ni hasaraHii ndio maana ya bahariaView attachment 1202624
Kama kuna usadifu vile ngoja niendelee kutafuta majibu zaidiMuhuni makini (mtu makini) maana yake
Hii sijaelewa kabisaMwanaume mwenye kibamia ambaye huogelea mabwawa huitwa BAHARIA. OVER!
Amelisha Matango poliLoooooh
Siyo wote mimi hata sijui maana yake na sijawahi kujiita hivoIna maana wale Me ambao huwa naona humu munajiita mabaharia huwa hamjui maana.
Kama ndio hii ipo vizuriTafuta nakala mkuuView attachment 1202651