Historia ya ndoa yangu


Ni moja kati ya comments nlizozielewa vizur katika uzi huu!! i wish mtoa mada aelewe zaidi ya nlivyoelewa na atamani kufanyia kazi swala uliloshauri.
 

Hukulazimishwa kuolewa. Uliyataka mwenyewe. Hayatuhusu
 
Huwa nashindwa kabisa kumuelewa mwanaume mwenye tabia ya kununa nuna
 
pole sana dada yangu, yaan haya majanaume sijui yakoje.
lkn wewe liache malipo ni hapahapa duniani, kabla hapajakucha atakutafuta, I mean kabla hajafa atarudi nyumbani.
Nyumba kubwa ni nyumba kubwa tu na michepuko sio dili.

Akishafunzwa na ulimwengu atarudi kwako tena mikono ikiwa nyuma.
 

mi siamini kama wewe miss neddy ni msichana lazima utakuwa ni mmama mtu mzima wa busara yaani umetoa ushauri wa busara sana ningejua uko wapi ningemleta mke wangu umpe ushauri maana na yeye ni mamaa kununa
 
miss neddy nadhani nilimwelewa uzuri mkuu Nyani Ngabu hata kama sikubaliani nae kwamba MMU wote ni mazimwi ni masihara niliweka, ukichunguza kuna ka ukweli maana ushauri mwingine unaishia kushindwa kushangaa.

Binafsi nawaachia wanao nifahamu washuhudie matendo yangu, ingawa kuna wakati nakuwa mtata sana kama sina moyo wanyama vile.
waweza kuwa zimwi kwa matendo
 
Kwahiyo yaambasa mwenzako akiwa kwenye hali kama hii humsaidii kabisa ? hivi unadhnai kweli mwanaume aliyekamilka anaweza endelea baki ndani kwa mazingira kama haya ya kunyimwa "conjugal right "

Ni bahati mbaya sana hajawahi kuwa katika hali hiyo,mpaka anaondoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…