Historia ya Mzee Kipusa

Historia ya Mzee Kipusa

Note: Katika maisha yangu , nimewahi kuwa homeless mara kadhaa. Na kwà kua ninayo kadi ya bima ya Afya....mateso yalipokua yakinidi Hasa baridi na njaa) ...nilikua naitumia kwenda kupata hifadhi kwenye wodi ya wagonjwa...kwa siku kadhaa. Hospital yeyote wakinikubalia natulia pale.

Nimefanya Kazi ndogo ndogo nyingi sana kukeep up na maisha....lakini to no avail.
Ukiona kiza kimezidi jua kunakaribia kukucha so worry out
 
Nimewahi kuishi katika stand kubwa kubwa za mikoa tofauti...kwenye majumba ya Wasafiri. Nimelala sana kwenye mabenchi.

Nimewahi kutembea kwà miguu kuanzia Asubuhi mpaka usiku , maeneo tofauti tofauti hapa TANZANIA. ( Kwasababu ya Kukosa nauli ya bus )

Nimejishughulisha kufanya Kazi ndogo ndogo nyingi uzijuazo wewe..but to no avail.

Nimesotea Kazi sana migodini. Kiufupi nimepambana sana...kutafuta ridhiki...mpaka kariakoo nilitaka kujaribu kulalia box ...

Sijui NIMEMKOSEA NINI MUNGU wangu.
Huna kosa...

Ila kosa wanalo ukoo wako...
 
Shida inaweza kuwa hapa,Unaweza kuwa kwenye Midlif Crisis ya mapema,au Fortunes zako zimekaa vibaya,Jaribu kufanya meditation kwa wingi,kama unatumia kilevi chochote acha kabisa,Na uache tabia ya kuwaza shida na magumu unayopitia na badala yake tazama ule wema ambao Mungu anakutendea.Mengine Tayari unayajua ya kufanya
I do alot of meditation. Alot my brother...

I am a kind of a person who can watch and learn.

It's like there's an invisible being inside me who is teaching anything I want to know.

Mimi sio mlevi , sio mzinzi....kuna mambo tulifundishwa seminary ...na siwezi kuenda kinyume nayo.

Nikiwa na mpenzi mmoja , ni huyo huyo. Sivuti sigara wala bangi.

Najitahidi sana kuishi a decent life


Note: Na ukiniona sasa , unaweza kufikiri sina shida...maana njia ninayoitumia ni kuyafanyia mawazo meditation. Bila hivi ningekua nimekonda sana na kuisha kabisa.
 
I do alot of meditation. Alot my brother...

I am a kind of a person who can watch and learn.

It's like there's an invisible being inside me who is teaching anything I want to know.

Mimi sio mlevi , sio mzinzi....kuna mambo tulifundishwa seminary ...na siwezi kuenda kinyume nayo.

Nikiwa na mpenzi mmoja , ni huyo huyo. Sivuti sigara wala bangi.

Najitahidi sana kuishi a decent life


Note: Na ukiniona sasa , unaweza kufikiri sina shida...maana njia ninayoitumia ni kuyafanyia mawazo meditation. Bila hivi ningekua nimekonda sana na kuisha kabisa.
😥😥
 
I do alot of meditation. Alot my brother...

I am a kind of a person who can watch and learn.

It's like there's an invisible being inside me who is teaching anything I want to know.

Mimi sio mlevi , sio mzinzi....kuna mambo tulifundishwa seminary ...na siwezi kuenda kinyume nayo.

Nikiwa na mpenzi mmoja , ni huyo huyo. Sivuti sigara wala bangi.

Najitahidi sana kuishi a decent life


Note: Na ukiniona sasa , unaweza kufikiri sina shida...maana njia ninayoitumia ni kuyafanyia mawazo meditation. Bila hivi ningekua nimekonda sana na kuisha kabisa.
Nina hakika hufanyi ile meditation yenyewe mkuu..try pia Yoga.
 
Nina hakika hufanyi ile meditation yenyewe mkuu..try pia Yoga.
Siwezi kufanya Yoga...., cause najua side effects zake.

Mimi nafanya meditation kama wafanyazo viongozi mfano :- Mwalimu Nyerere....au walizokua wakizifanya mitume na manabii...

Chukua kalamu na karatasi , ...weka title ya topic au kitu unachotaka kukijua.....then utashangaa kuona vitu vinashuka tu. Just like that.
 
Back
Top Bottom