Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,841
Nimeipenda hiyo stage ya mwisho, mafisadi wote watakuwa kitimoto, tutawala wataisha, then peace and love.Tulikotoka na tunapoeleka kunajulikana kabisaaaaaa
View attachment 52111
Tehe tehe tehe, kwi kwi kwiiii!Tulikotoka na tunapoeleka kunajulikana kabisaaaaaa
View attachment 52111
Aisee huyo mdudu hapo mbele ni mtamu jamani nyie acheni tu!
Yaani sisi wanaadamu tunajidharau kiasi hiki. Tumefika hadi kujifananisha na nguruwe!!!!! Kweli dunia inakaribia mwisho wake.