Historia ya mpira wa miguu (football)

Historia ya mpira wa miguu (football)

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
58,639
Reaction score
220,411
Mchezo wa mpira wa miguu (football) ulianza kuchezwa kwenye shule za watoto wa matajiri (Public Schools) nchini Uingereza. Mnamo karne ya 19. Mchezo huu ulienea na kupendwa sana kwenye makolini ya Uingereza. Sasa hivi umekuwa ni mchezo unaoiunganisha dunia.

Hii ndiyo sababu kubwa Waingereza wakishangilia tiny yao wanaimba “Is coming home, is coming home”. Wakimaanisha kombe linarudi nyumbani.
 
England anaishia mikononi mwa Croatia, sioni nafasi ya England kuchomoka nusu fainali,
 
Mimi nataka historia ya mchezo wa kugegedana![emoji53][emoji53][emoji53]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom