MBOWE ATAKA HISTORIA YAKE ITUMIKE KUHALALISHA YEYE KUBAKI MADARAKANI KWA MABAVU KWA KISINGIZIO CHA KULINDA CHAMA
Mbowe anadhani historia yake binafsi katika chadema inaweza kutumika kufunika vitendo vya ubakaji wa democrasia katika chama ikiwa ni pamoja na yeye kunyofoa kifungu cha ukomo wa uongozi wa chama kwenye katiba ya chadema. Ifuatayo ni sehemu ya hotuba ya Mbowe kwa wanafunzi jana wakati akifungua Kanda maalum ya cdm vyuo vikuu kanda ya ziwa angalia kama kuna element yoyote ya kujenga democrasia katika chama, angalia kama hotuba hii inakijenga maslahi ya chama au inajenga maslahi binafsi ya Mbowe?.
Kutokana na hofu ya kufukuzwa na wananchi ulinzi ni wa kutisha mpaka kwenye paa za nyumba. Vijana walikuwa redbrigade walikuwa na hofu sijapata kuona!
Mbowe anaanza hotuba yake akisema wakati wa TANU hakukuwa na computer za kupotosha umma kwenye mitandao.
Anasema alishinikiza Dr Slaa awe katibu mkuu wa chama na akashinikiza kufanya mabadiriko makubwa kabla ya kukubali kuwa mwenyekiti.
Anasema alimulipia nauli Kabuoru nauli toka Marekani na alipokuja alilipwa mshahara na yeye na Ndesemburo
Anatoa siri kwamba siri ya Chadema kutosimamisha wagombea urais, ni kwa sababu Makani na Mtei waligombania kugombea urais mwaka 1995 chama kikaamua kuwatosa!
Anasema wanaosema anataka uongozi ni mpuuzi na mmbea, kazi ya kuongoza chama hiki ni ngumu kwani kifungo ni chako, risasi ni zako na kufirisika!
Anasema ameshambuliwa Arusha kwa bomu la kivita, bunduki za kivita na bastora. Anayesema hatavumiliwa mtu yoyote anayetaka kutoboa mtungi uliyotengenezwa kwa miaka 25 mfululizo.
Anasema Chadema wana msiba Ccm wanalia kuliko Chadema wenyewe. Anasema Chadema iko imara na anayefikiria vinginevyo apime ataona!
Anasema atasimamia nidhamu kwa gharama yoyote. Anasema Mbowe hana kundi wala hana njaa! Hatuwezi kugombania vyeo wakati huu kwani wakipewa nchi watatoana meno.
Ametangaza kwamba chama kitafanya kazi kubwa ya kujenga chama kwa akina mama mwaka 2014. Amemaliza hotuba na anazindua kanda maalum ya vyuo vikuu.
Mpambe wa Mbowe bw. Wenje alipata fursa ya kuongea akasama hivi: Natoa taarifa kuwa jmanne kitaumana bungeni kwani kwani wanataka kujua haki iliyovunjwa ya meye wa Ilemela. Anasema yeye Zitto, Mdee na Mnyika ni product ya Mbowe (ona ujinga wa huyu jamaa product ya mbowe in what context?)
Kuna watu kama mandela ambao wamefanya mambo makubwa kwa nchi zao, kwa Afrika na kwa dunia lakini hawakuwa wabinafsi kama Mbowe. Na viongozi wazuri ni wale wanaojali democrasia si wale wanaobaka democrasia kwa maslahi binafsi.
View attachment 126820
Mbowe anadhani historia yake binafsi katika chadema inaweza kutumika kufunika vitendo vya ubakaji wa democrasia katika chama ikiwa ni pamoja na yeye kunyofoa kifungu cha ukomo wa uongozi wa chama kwenye katiba ya chadema. Ifuatayo ni sehemu ya hotuba ya Mbowe kwa wanafunzi jana wakati akifungua Kanda maalum ya cdm vyuo vikuu kanda ya ziwa angalia kama kuna element yoyote ya kujenga democrasia katika chama, angalia kama hotuba hii inakijenga maslahi ya chama au inajenga maslahi binafsi ya Mbowe?.
Kutokana na hofu ya kufukuzwa na wananchi ulinzi ni wa kutisha mpaka kwenye paa za nyumba. Vijana walikuwa redbrigade walikuwa na hofu sijapata kuona!
Mbowe anaanza hotuba yake akisema wakati wa TANU hakukuwa na computer za kupotosha umma kwenye mitandao.
Anasema alishinikiza Dr Slaa awe katibu mkuu wa chama na akashinikiza kufanya mabadiriko makubwa kabla ya kukubali kuwa mwenyekiti.
Anasema alimulipia nauli Kabuoru nauli toka Marekani na alipokuja alilipwa mshahara na yeye na Ndesemburo
Anatoa siri kwamba siri ya Chadema kutosimamisha wagombea urais, ni kwa sababu Makani na Mtei waligombania kugombea urais mwaka 1995 chama kikaamua kuwatosa!
Anasema wanaosema anataka uongozi ni mpuuzi na mmbea, kazi ya kuongoza chama hiki ni ngumu kwani kifungo ni chako, risasi ni zako na kufirisika!
Anasema ameshambuliwa Arusha kwa bomu la kivita, bunduki za kivita na bastora. Anayesema hatavumiliwa mtu yoyote anayetaka kutoboa mtungi uliyotengenezwa kwa miaka 25 mfululizo.
Anasema Chadema wana msiba Ccm wanalia kuliko Chadema wenyewe. Anasema Chadema iko imara na anayefikiria vinginevyo apime ataona!
Anasema atasimamia nidhamu kwa gharama yoyote. Anasema Mbowe hana kundi wala hana njaa! Hatuwezi kugombania vyeo wakati huu kwani wakipewa nchi watatoana meno.
Ametangaza kwamba chama kitafanya kazi kubwa ya kujenga chama kwa akina mama mwaka 2014. Amemaliza hotuba na anazindua kanda maalum ya vyuo vikuu.
Mpambe wa Mbowe bw. Wenje alipata fursa ya kuongea akasama hivi: Natoa taarifa kuwa jmanne kitaumana bungeni kwani kwani wanataka kujua haki iliyovunjwa ya meye wa Ilemela. Anasema yeye Zitto, Mdee na Mnyika ni product ya Mbowe (ona ujinga wa huyu jamaa product ya mbowe in what context?)
Kuna watu kama mandela ambao wamefanya mambo makubwa kwa nchi zao, kwa Afrika na kwa dunia lakini hawakuwa wabinafsi kama Mbowe. Na viongozi wazuri ni wale wanaojali democrasia si wale wanaobaka democrasia kwa maslahi binafsi.
View attachment 126820