Historia ya Majini

Nenda kwa wapemba wanafuga majini na wanauwezo wa kuyaita
 
First of all ili kumshinda Ina depends na power yake na kama hatokei katika chimbuko la ukoo it's easy to defeat him / her kinyumr na hapo utaula wa chuya
Hapo kwenye ku depend na power yake si ndio kwamba kuna wengine power zao ndogo ni rahisi ku deal nao.
 
Kwahiyo unataka kusema viongozi wakuu w dini wana elimu kubwa ya kuhusu hawa majini?
Saana meditation zote zinahusika na kuvuta majini ili yakutumikie kuanzia kuvuta rozali mpaka tasbih
 
Hapo kwenye ku depend na power yake si ndio kwamba kuna wengine power zao ndogo ni rahisi ku deal nao.
Huyo Sasa amekukumba tu hakuwa na lengo na wewe la kudumu

Umeshawahi kukutana na mtu ambaye majini / mizimu ya kwao inamtaka Awe chief wa ukoo wao !?

Umeshawahi kukutana na Hilo balaa tuanzie hapo kwanza
 
Duhh hili nalo jipya kwangu mzee!
 
Kwahiyo majini nao Wana dini
Majini ndio wenye dini

Hata huyo malaika wanayesema sijui jibril kamfuata mtume na kumtaka awe mtume , Hiyo imefichwa tu sio kweli ,

The so called mitume yote duniani wanafuatwa na mizimu Yao ya ukoo ya Taifa au nchi na kuwashurutisha wakubali kuwa ma- prophecy , ila Sasa hawezi kusema kwamba wanafuatwa na mizimu/ Majini , so wakija mbele ya jamii wana rahisha lugha ili wapate kusikilizwa na watu na kuaminika ndio wanatumia jina la mungu
 
Mkuu hapo unakusudia mizimu? Kama ni hivyo basi ipo mizimu yenye kusumbua ambayo inaweza kudhibitiwa.
 
Dah ila waarabu

Walituweza min -me
 
Duhh anateseka sana na alikuwa binti wa form 2 anatupiwa kisa nini sasa
Huyo Wala hajatupiwa Wala Nini !? Huyo ana sumbuliwa na hiyo genetics yake yatakuwa yanamtaka awatumikie

Ila watu wengi haya mambo hawajui πŸ˜πŸ˜„
 
Kwahiyo baadaye ndio wengine wakaacha uislamu na kuwa mizimu?
Ukiuwacha Uislamu kwa sharia za Kiislamu unatakiwa uuliwe:
Yaani Waislamu wakuuwe:
Ndio maana Kuna watu katika nchi za Kiislamu wanakuwa Waislamu kwa lazima au kwa hofu ya kuuliwa tu:
La sivyo wangekuwa wasioamini Dini (Atheist) au wa Dini nyingine kama uhindu, ubudha, urastafarian nk.
 
Huyo Wala hajatupiwa Wala Nini !? Huyo ana sumbuliwa na hiyo genetics yake yatakuwa yanamtaka awatumikie

Ila watu wengi haya mambo hawajui πŸ˜πŸ˜„
Kama mimi ndio sijui kabisaa, hebu nielezee ayatumikie kufanya nini? Naona wamemzungusha kila kona ya Tz ila hajasaidika yupo tu hajielewi kwakweli
 
Saana meditation zote zinahusika na kuvuta majini ili yakutumikie kuanzia kuvuta rozali mpaka tasbih
Ila mfano kwenye uislamu wenye kujua mambo yenye kuhusu majini sio katika masheikh wakubwa waliyosoma sana elimu ya dini na viongozi wa dini, wenye kujua elimu za majini wengi ndio hawa wanaitwa waganga na huwa hawana sana elimu ya dini huwa wanasema elimu ya dini na tiba ni tofauti.

Na kuhusu meditation mbona imefanyiwa hadi tafiti za kisayansi na kuonekana ina faida zake kiafya, hivyo si kwamba ufanyaje wa meditation kiujumla hauna maana ya kujihusisha na majini bali inategemea na wewe unaitumiaje tu mwenyewe hiyo meditation?
 
Kama mimi ndio sijui kabisaa, hebu nielezee ayatumikie kufanya nini? Naona wamemzungusha kila kona ya Tz ila hajasaidika yupo tu hajielewi kwakweli
Nimekwambia hawezi kupona huyo ,

Huwezi kushindana na hiyo power ataishia kutupwa Hela tu

So nimpaka watulizwe
 
Meditation it depends na meditation ipi

Lakini hizi zilizopo katika dini zote zipo connected na ulimwengu wa kiroho na zinafungua mlango wa majini kuweza kuwa karibu na binaadamu

Yes Kwa waislam wana elimu ya Majini kwasababu uislam the way ulivyo umeweka open sana hayo mambo tofauti na cristianism wao wame yaficha sana , And of course majini ni kitu hatari so hakipaswi kuwa open Kwa Kila mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…