Raisi pekee mwanajeshi kamili tena graduate wa kijitonyama pale enzo zile!!!hatari Sana!!alikua anajiamini Sana hakuwatumia polisi kuzuia mikutano ya siasa!!!
Mkuu pengine umeonyesha JK kuhitimu mwaka 1975 kwa kuchukua kwamba alijiunga na chuo mwaka 1972.
Lakini kumbuka wapo wengine hapo katikati hutokea vitu vinavyoweza kuwafanya wasimalize kwa Muda husika hivyo hivyo kwa JK.
Mkuu pengine umeonyesha JK kuhitimu mwaka 1975 kwa kuchukua kwamba alijiunga na chuo mwaka 1972.
Lakini kumbuka wapo wengine hapo katikati hutokea vitu vinavyoweza kuwafanya wasimalize kwa Muda husika hivyo hivyo kwa JK.