Historia ya Inspekta mkuu wa polisi (IGP) tokea tupate Uhuru

Anzisheni ya WAJESHI as well maana nako kuna harufu isyo nzuri hata kidogo
 
.
Mkuu Gobore, kwanza asante kwa kuwa open kwa masahihisho, jina halisi ni Samweli Pundugu kwa mujibu wa Mkuu Mbu!, na sio Samson Pundugu!.
I salute IGP's wetu wazalendo, ambao kwa namna moja au nyingine walidumisha AMANI na utulivu nchini... Enzi hizo raia hana 'ushikaji' bure bure tu na IGP...
View attachment 2251
1973-1976 Samwel Pundugu.

Ila pia hujakosea sana!, Pundugu alikuwa na watoto 4, kati ya hao wasichana ni watatu, wawili kati yao wakiwa ni twins, na mvulana ni mmoja na ndie aliyeitwa Samson!. Baada ya kustaafu aliishi zile flats za THB eneo la Drive In, enzi hizo!

Pasco
 
Reactions: Mbu
Hapo meja General anaingiaje kwenye magereza au polisi

..Maj.Gen.Abdalah Natepe aliwahi kuwa waziri wa mambo ya ndani.

..sasa swali langu lilikuwa ni kama wahaini na wale majambazi sugu walitoroka wakati akiwa ktk nafasi hiyo.
 
Sijakuelewa ebu fafanua maana wengine tumezaliwa juzi hatuyajui kumbe irresponsibility olikuwepo kitambo duuu ok ngoja tuone hawamu ya 5 kama nimbio zavijito tusngalie uelekeo
 
Japikuwa siyajui majeshi sina uhakika kama polisi na magereza kuna mj gen
 
Japikuwa siyajui majeshi sina uhakika kama polisi na magereza kuna mj gen

acha uvivu,soma kuanzia page ya kwanza utaelewa.waziri wa mambo ya ndani ndiyo alikuwa mwanajeshi.wanajeshi wanatumika mpaka leo kushika nafasi za kisiasa hasa ukuu wa mikoa na wilaya.
 

kwa kumbukumbu zangu wakuu wa Polisi ni hawa wafuatao:
1.Elengwa Shaidi,
2. Hamza Aziz,
3. Samwel Pundugu,
4. Philemon Mgaya,
5. Solomon Liani,
6. Harun Mahundi,
7. Omar Mahita,
8. Said Mwema.
9. Ernest Mangu
10. Simon Nyakoro Sirro-anaendelea hadi sasa.
 
VIONGOZI WA JESHI LA POLISI WAKATI WA UKOLONI HADI UHURU.
1916 – 1920 Major S.T. Davis.
1920 – 1929 E.F. Brown.
1929 – 1933 G.H. Kiram.
1933 – 1942 F.A.B. Nicholl
1942 – 1949 E.B. Birthray.
1949 – 1951 W.A. Muller.
1951 – 1958 R.E. Fouler.
1958 – 1962 G.S. Wilson.
1962 – 1964 E.N. Shaidi.

INSPEKTA JENERALI WA POLISI TANGU MUUNGANO HADI LEO.


1964 – 1970
Elangwa N. Shaidi


1970 – 1973
Shaidi Hamza Azizi.


7/8/1973 – Aug 1975
Samweli H. Pundugu.


8/8/1975 – Nov 1980
Philemon N. Mgaya.


2/11/1980 – 30/11/1984
Solomoni Liani.


1/12/1984 – 3/5/1996
Harun G. Mahundi.


4/5/1996 – 2/3/2006
Omar I. Mahita.


3/3/2006 - 30/12/2013
Saidi A. Mwema.


01/01/2014-29/05/2017
Ernest J. Mangu


29/05/2017-Hadi Sasa
Simon Nyakoro Siro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…