Kituko,
..Tryphon Maji alikuwa RPC wa D'Salaam miaka ya 90.
..kuna tajiri wa kihindi alikamatwa na kuwekwa ndani central police. sina uhakika aliwekwa ndani kwa amri ya nani. lakini Tryphon Maji na Silvano Adel[katibu mkuu mambo ya ndani] walikwenda central police na kumtoa mhindi mahabusu. habari hiyo ilimfikia Augustino Mrema, waziri wa mambo ya ndani, na yeye akaripoti Ikulu, na kupelekea vibarua vya Maji na Adel vikaota majani.
..Tryphon Maji na Silvano Adel wametangulia ktk haki miaka ya hivi karibuni.
ukwelikitugani, gobore, Kichuguu,
..Solomon Liani aliteuliwa na Mwalimu Nyerere, na alitumikia mpaka wakati wa Raisi Mwinyi, ambaye ndiyo alimteua IGP Harun Guido Mahundi, aliyekuwa RPC Arusha.
..ukiangalia timeline ya matukio, nadhani wahaini walikamatwa na kutoroka wakati Solomon Liani akiwa IGP. sina uhakika kuhusu wahusika waliochukuliwa hatua za kinidhamu.
..kuna kipindi fulani ambapo waziri wa mambo ya ndani, pamoja na mkuu wa magereza walilazimika kujiuzulu. sasa sina uhakika kama walijiuzulu kutokana na kutoroka kwa wahaini, au kutokana na kutoroka kwa majambazi sugu karibia 21 toka gereza/mahabusu ya ukonga.
..naomba mwenye kumbukumbu nzuri watusaidie kuhusu lile tukio la majambazi sugu kama Hamisi "nyau", Leloo, na wenzao kutoroka gerezani/mahabusu ilikuwa ni mwaka gani na kama kuna hatua zozote zile zilichukuliwa dhidi ya IGP, waziri wa mambo ya ndani, na mkuu wa magereza.
gobore,
..asante kwa marekebisho yako.
..ndiyo uzuri wa JF kwamba tunarekebishana.
..sasa naomba isomeke kwamba mkuu wa magereza aliyejiuzulu ni Geneya Gabriel, na siyo Mwanguku.
Kwani wewe ulikuwa Tabora mwaka gani . Mimi nilisoma tabora katiya mwaka 1978 na 1980 namkumbuka mtoto wa mzee Mgaya yeyealikuwa Milambo Sekondari O level1. Kwa Kwanza alikuwa anaitwa Elangwa Shaidi, huyu alistaafu kutokana na umri. Sina uhakika alikuwa na umri gani.
2. Aliyefuatia ni Hamza Azizi ambaye aligonga mtu na gari la serikali akiwa amelewa. Hata hivyo kwa vile alikuwa ni mtoto wa Mzee Aziz Dosa, ambaye alikuwa ni mmoja wa wafadhili wakubwa wa Nyerere wakati wa Uhuru, Nyerere akaamua kumhifadhi kwa kumhamishia kwenye ubalozi wa Tanzania huko USA. Kuna binti yake ambaye leo naye ni balozi huko foreign affairs.
3. Samson Pundugu alistaafishwa na Nyerere ikiwa ni pamoja na Ali Hassani Mwinyi aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani wakati huo. Hiyo ilikuwa ni response kutokana na mauaji ya wachawi huko Shinyanga. Watu wengi sana alistaafishwa kazi ndani ya jeshi la polisi na wizara nzima ya mambo ya ndani.
4. Philemon Mgaya nimepoteza kumbukumbu kidogo, ila nadhani aliwahi kuwa Mkuu wa mkoa wa Tabora au mkuu wa polisi wa Tabora. Nilisoma na mmoja wa watoto wake, na sikumbuki kama alitoka Tabora ndipo akawa IGP au alitoka IGP ndiyo akaenda Tabora. Ila tetesi zilizokuwapo ni ama alipokea au aliomba rushwa ili kutoa kibali cha kuendesha biashara ya ulinzi kwa kampuni y Group 4 Security wakati huo.
Huenda ndiye huyo huyo; alikuwa anatumikia sana kwenye ibada za kanisa katoliki.Kwani wewe ulikuwa Tabora mwaka gani . Mimi nilisoma tabora katiya mwaka 1978 na 1980 namkumbuka mtoto wa mzee Mgaya yeyealikuwa Milambo Sekondari O level
Mkuu , Mtemi Michael Mjema hakuwahi kuwa IGP, alivyotoka kuwa RPC Dodoma yeye na wake zake zake alihamia DSM na kuwa mkuu wa kitengo kile cha Afande Tossi, kisha baada ya hapo na wake zake alistahafu na hatimae kuwa Mwenyekiti wa CCM mkoa wa MwanzaWakuu naomba kujua huyu Marehemu Mzee Michael Mgema ambaye baadae alikuja kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza hakuwahi kuwa IGP?
1964 1970 | 1970 1973 |
Elangwa N. Shaidi | Hamza Azizi. |
7/8/1973 Aug 1975 | 8/8/1975 Nov 1980 |
Samweli H. Pundugu. | Philemon N. Mgaya. |
2/11/1980 30/11/1984 | 1/12/1984 3/5/1996 |
Solomoni Liani. | Harun G. Mahundi. |
4/5/1996 2/3/2006 | 3/3/2006 Hadi sasa |
Omar I. Mahita. | |
WAKURUGENZI WA IDARA YA UPELELEZI (CID) TANGU 1960 HADI LEO. | |||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
| |||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
|
VIONGOZI WA JESHI LA POLISI WAKATI WA UKOLONI HADI UHURU. | ||||||||||||||||||||
| ||||||||||||||||||||
|
| |
|
|
| | | |||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
| |
1. Kwa Kwanza alikuwa anaitwa Elangwa Shaidi, huyu alistaafu kutokana na umri. Sina uhakika alikuwa na umri gani.
2. Aliyefuatia ni Hamza Azizi ambaye aligonga mtu na gari la serikali akiwa amelewa. Hata hivyo kwa vile alikuwa ni mtoto wa Mzee Aziz Dosa, ambaye alikuwa ni mmoja wa wafadhili wakubwa wa Nyerere wakati wa Uhuru, Nyerere akaamua kumhifadhi kwa kumhamishia kwenye ubalozi wa Tanzania huko USA. Kuna binti yake ambaye leo naye ni balozi huko foreign affairs.
3. Samson Pundugu alistaafishwa na Nyerere ikiwa ni pamoja na Ali Hassani Mwinyi aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani wakati huo. Hiyo ilikuwa ni response kutokana na mauaji ya wachawi huko Shinyanga. Watu wengi sana alistaafishwa kazi ndani ya jeshi la polisi na wizara nzima ya mambo ya ndani.
4. Philemon Mgaya nimepoteza kumbukumbu kidogo, ila nadhani aliwahi kuwa Mkuu wa mkoa wa Tabora au mkuu wa polisi wa Tabora. Nilisoma na mmoja wa watoto wake, na sikumbuki kama alitoka Tabora ndipo akawa IGP au alitoka IGP ndiyo akaenda Tabora. Ila tetesi zilizokuwapo ni ama alipokea au aliomba rushwa ili kutoa kibali cha kuendesha biashara ya ulinzi kwa kampuni y Group 4 Security wakati huo.
Ngoja nijaribu kuweka timeline kama kumbukumbu yangu ilivyo kwa hawa Makamishna wa Magereza,wanaojua zaidi watanisahihihisha makamishna wa magereza waliopata kuongoza ni
Obadia Rugimbana(62-66) huyu ni baba yakemzazi Jordan Rugimbana Dc Kinondoni,Ramadhani Nyamka(67-77),Gabriel Ganja Geneya (77- 83 or 82),Simon Mwanguku,Jumanne Mangara,Ornel Mallisa( Benno Mallisa dad...tetesi am not sure),Nicas Banzi 2001-2007( Huyu ndo alitoka kwa aibupamoja na waziri wake Omari Mapuri baada yakupiga waandishi wa habari) halafu Agustino Nanyaro 2007 mpaka 2012 kamuachia Fidelis Mboya anayekaimu kuanzia May
Note:
..........kuanzia Uhuru jeshi liliongozwa na Commisioner of Prisons ila muundo ulikuja kubadilishwa mwaka 1974 na mkuu kuwa Commisioner General of Prisons na hivyo basi kumfanya RamadhaniNyamka kuwa mtanzaniawa kwanza kushika cheo hicho
.........graduate wa kwanza(Degree holder) kwenye majeshi yote ya Tanzania alitokea Magereza, Commisioner Ganja Geneya
Pamoja