BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 7,996
- 20,081
Anaandika BICHWA KOMWE ✍️✍️✍️
Kwa jina naitwa BICHWA KOMWE, mimi ni mtoto pekee katika familia ya kitajiri.
Baba yangu ni mzaliwa wa mtwara, mmakonde wa chitoholi. Mama yangu ni mmwera. Mama halisi wa Kiafrika.
Mimi ni Binti pekee katika familia yetu, ambapo, nilipofikisha umri wa miaka 16, baba yangu alinipeleka nchini uingereza kwa ajili ya masomo ya elimu ya Juu.
Nimekaa nchini uingereza kwa takribani miaka sita, nikatunukiwa shahada ya tatu yaani PhD katika chuo kikuu cha Oxford.
Mnamo mwaka 2015 nilirejea nchini Tanzania, nilibahatika kuolewa na Mmakonde mwenzangu. Elimu yake ni shahada ya kwanza.
Jamani yule kaka anapiga mauno!! Anyway, siri ya ndani.
Mama mkwe wangu ni Brigedia, mwanajeshi mstaafu. Kuna siku tulikuwa na sherehe ya kipaimara nikavunja chupa ya soda kwa bahati mbaya, jamani alinibutua makofi!!! Khaaa!
Kwa sasa nina watoto wanne wa kiume wote. Ahsanteni sana kwa kunisikiliza.
Kwa jina naitwa BICHWA KOMWE, mimi ni mtoto pekee katika familia ya kitajiri.
Baba yangu ni mzaliwa wa mtwara, mmakonde wa chitoholi. Mama yangu ni mmwera. Mama halisi wa Kiafrika.
Mimi ni Binti pekee katika familia yetu, ambapo, nilipofikisha umri wa miaka 16, baba yangu alinipeleka nchini uingereza kwa ajili ya masomo ya elimu ya Juu.
Nimekaa nchini uingereza kwa takribani miaka sita, nikatunukiwa shahada ya tatu yaani PhD katika chuo kikuu cha Oxford.
Mnamo mwaka 2015 nilirejea nchini Tanzania, nilibahatika kuolewa na Mmakonde mwenzangu. Elimu yake ni shahada ya kwanza.
Jamani yule kaka anapiga mauno!! Anyway, siri ya ndani.
Mama mkwe wangu ni Brigedia, mwanajeshi mstaafu. Kuna siku tulikuwa na sherehe ya kipaimara nikavunja chupa ya soda kwa bahati mbaya, jamani alinibutua makofi!!! Khaaa!
Kwa sasa nina watoto wanne wa kiume wote. Ahsanteni sana kwa kunisikiliza.
