Historia ya Bichwa Komwe: Maktaba ya Jamiiforums

Historia ya Bichwa Komwe: Maktaba ya Jamiiforums

BICHWA KOMWE -

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2022
Posts
7,996
Reaction score
20,081
Anaandika BICHWA KOMWE ✍️✍️✍️

Kwa jina naitwa BICHWA KOMWE, mimi ni mtoto pekee katika familia ya kitajiri.

Baba yangu ni mzaliwa wa mtwara, mmakonde wa chitoholi. Mama yangu ni mmwera. Mama halisi wa Kiafrika.

Mimi ni Binti pekee katika familia yetu, ambapo, nilipofikisha umri wa miaka 16, baba yangu alinipeleka nchini uingereza kwa ajili ya masomo ya elimu ya Juu.

Nimekaa nchini uingereza kwa takribani miaka sita, nikatunukiwa shahada ya tatu yaani PhD katika chuo kikuu cha Oxford.

Mnamo mwaka 2015 nilirejea nchini Tanzania, nilibahatika kuolewa na Mmakonde mwenzangu. Elimu yake ni shahada ya kwanza.

Jamani yule kaka anapiga mauno!! Anyway, siri ya ndani.

Mama mkwe wangu ni Brigedia, mwanajeshi mstaafu. Kuna siku tulikuwa na sherehe ya kipaimara nikavunja chupa ya soda kwa bahati mbaya, jamani alinibutua makofi!!! Khaaa!

Kwa sasa nina watoto wanne wa kiume wote. Ahsanteni sana kwa kunisikiliza.
 
Anaandika BICHWA KOMWE ✍️✍️✍️

Kwa jina naitwa BICHWA KOMWE, mimi ni mtoto pekee katika familia ya kitajiri.

Baba yangu ni mzaliwa wa mtwara, mmakonde wa chitoholi. Mama yangu ni mmwera. Mama halisi wa Kiafrika.

Mimi ni Binti pekee katika familia yetu, ambapo, nilipofikisha umri wa miaka 16, baba yangu alinipeleka nchini uingereza kwa ajili ya masomo ya elimu ya Juu.

Nimekaa nchini uingereza kwa takribani miaka sita, nikatunukiwa shahada ya tatu yaani PhD katika chuo kikuu cha Oxford.

Mnamo mwaka 2015 nilirejea nchini Tanzania, nilibahatika kuolewa na Mmakonde mwenzangu. Elimu yake ni shahada ya kwanza.

Jamani yule kaka anapiga mauno!! Anyway, siri ya ndani.

Mama mkwe wangu ni Brigedia, mwanajeshi mstaafu. Kuna siku tulikuwa na sherehe ya kipaimara nikavunja chupa ya soda kwa bahati mbaya, jamani alinibutua makofi!!! Khaaa!

Kwa sasa nina watoto wanne wa kiume wote. Ahsanteni sana kwa kunisikiliza.
Naona avatar yako ndio picha ya Mama Mkwe wako?
 
Anaandika BICHWA KOMWE ✍️✍️✍️

Kwa jina naitwa BICHWA KOMWE, mimi ni mtoto pekee katika familia ya kitajiri.

Baba yangu ni mzaliwa wa mtwara, mmakonde wa chitoholi. Mama yangu ni mmwera. Mama halisi wa Kiafrika.

Mimi ni Binti pekee katika familia yetu, ambapo, nilipofikisha umri wa miaka 16, baba yangu alinipeleka nchini uingereza kwa ajili ya masomo ya elimu ya Juu.

Nimekaa nchini uingereza kwa takribani miaka sita, nikatunukiwa shahada ya tatu yaani PhD katika chuo kikuu cha Oxford.

Mnamo mwaka 2015 nilirejea nchini Tanzania, nilibahatika kuolewa na Mmakonde mwenzangu. Elimu yake ni shahada ya kwanza.

Jamani yule kaka anapiga mauno!! Anyway, siri ya ndani.

Mama mkwe wangu ni Brigedia, mwanajeshi mstaafu. Kuna siku tulikuwa na sherehe ya kipaimara nikavunja chupa ya soda kwa bahati mbaya, jamani alinibutua makofi!!! Khaaa!

Kwa sasa nina watoto wanne wa kiume wote. Ahsanteni sana kwa kunisikiliza.
Miaka 16 tayari unaenda elimu ya juu?

Umesoma International school?
 
Anaandika BICHWA KOMWE

Kwa jina naitwa BICHWA KOMWE, mimi ni mtoto pekee katika familia ya kitajiri.

Baba yangu ni mzaliwa wa mtwara, mmakonde wa chitoholi. Mama yangu ni mmwera. Mama halisi wa Kiafrika.

Mimi ni Binti pekee katika familia yetu, ambapo, nilipofikisha umri wa miaka 16, baba yangu alinipeleka nchini uingereza kwa ajili ya masomo ya elimu ya Juu.

Nimekaa nchini uingereza kwa takribani miaka sita, nikatunukiwa shahada ya tatu yaani PhD katika chuo kikuu cha Oxford.

Mnamo mwaka 2015 nilirejea nchini Tanzania, nilibahatika kuolewa na Mmakonde mwenzangu. Elimu yake ni shahada ya kwanza.

Jamani yule kaka anapiga mauno!! Anyway, siri ya ndani.

Mama mkwe wangu ni Brigedia, mwanajeshi mstaafu. Kuna siku tulikuwa na sherehe ya kipaimara nikavunja chupa ya soda kwa bahati mbaya, jamani alinibutua makofi!!! Khaaa!

Kwa sasa nina watoto wanne wa kiume wote. Ahsanteni sana kwa kunisikiliza.
Mbona kama unatupanga kwahiyo miaka 16 tayari ume graduate o level?
 
Back
Top Bottom