Historia huwa inajirudia CCM

Historia huwa inajirudia CCM

Sales man

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2025
Posts
571
Reaction score
843
CCM wataachia nchi kama Nyerere kwa kushindwa kupata Mikopo, misaada na utalii kujifia.

Na viongozi watakimbilia uhamishoni kuomba hifadhi

History tends to repeat itself

Maandamano ni VITA ya watu wajinga in this era.

Wao wanaogopa nchi kukwama kiuchumi na kukosa misaada hilo tu. The rest ni waste of time.
 
Ccm wataachia nchi Kama Nyerere kwa kushindwa kupata Mikopo , misaada na utalii kujifia.

Na viongozi watakimbilia uhamishoni kuomba hifadhi

History tends to repeat it self

Maanadamano ni VITA ya watu wajinga in this era.

Wao wanaogopa nchi kukwama kiuchumi na kukosa misaada hilo tu. The rest ni waste of time.
Una akili ajabu! Nepal ilikuwa.nini?
Madagascar? Kenya?
 
Back
Top Bottom