Hisia zimeisha juu yake

Hisia zimeisha juu yake

leonardbuba

Member
Joined
Nov 30, 2017
Posts
47
Reaction score
26
Nimekuwa nae sasa Miaka mitano tangu anaanza form one ila mahusiano yetu yamekuwa ya simu tu hatujawahi kukaa kitako tuyajadili mahusiano yetu na malengo yetu ni jirani yangu kila siku na muona pia najua hapa kitaa hasaliti labda shuleni kwao attention na mie ni simu anapiga sana tu ila hatuna muda hata kuongea japo nampenda na wala siwez fanya chchte pasipo yeye kutaka mie nataka attention yake nimechoka simu tu na kuwa mpenzi mtazamaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekuwa nae sasa Miaka mitano tangu anaanza form one ila mahusiano yetu yamekuwa ya simu tu hatujawahi kukaa kitako tuyajadili mahusiano yetu na malengo yetu ni jirani yangu kila siku na muona pia najua hapa kitaa hasaliti labda shuleni kwao attention na mie ni simu anapiga sana tu ila hatuna muda hata kuongea japo nampenda na wala siwez fanya chchte pasipo yeye kutaka mie nataka attention yake nimechoka simu tu na kuwa mpenzi mtazamaji

Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka ugegede sasa au sio
 
Hahaaaa hapna unapo kuwa na mpenzi kuna nyakati unatakiwa muwe pamoja walau mara moja moja kwa week mtembee na muyaongelee mahusiano yenu sasa Miaka mitano tupo tu yeye busy err day na duka

Sent using Jamii Forums mobile app


Kwa hiyo mapenzi yenu ni ya marimba ya mzungu hahahahaha. Omba papuchi hiyo kijana hataki kukjpa unaenda tafuta mwengine.
 
Badala ya kukaa mujadili masomo wewe unawaza kujadili mahusiano wakati bado wanafunzi,someni kwanza hayo mambo yapo tu mtayakuta.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Badala ya kukaa mujadili masomo wewe unawaza kujadili mahusiano wakati bado wanafunzi,someni kwanza hayo mambo yapo tu mtayakuta.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mahusiano na masomo vitu viwili tofauti na mie si mwanafunzi labda mwenzangu yuko advance mie niko uraiani natimiza Majukum mengine sas kwa style hii Nahsi jini mkata kamba anayemelea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekuwa nae sasa Miaka mitano tangu anaanza form one ila mahusiano yetu yamekuwa ya simu tu hatujawahi kukaa kitako tuyajadili mahusiano yetu na malengo yetu ni jirani yangu kila siku na muona pia najua hapa kitaa hasaliti labda shuleni kwao attention na mie ni simu anapiga sana tu ila hatuna muda hata kuongea japo nampenda na wala siwez fanya chchte pasipo yeye kutaka mie nataka attention yake nimechoka simu tu na kuwa mpenzi mtazamaji

Sent using Jamii Forums mobile app
mwambie aache shule

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ahsant kwa taarifa, waziri mkuu kalisimamie hili lipate mwafaka hakikisha itifaki inazingatiwa
 
Muache asome kwanza. Migegedo mtaikuta tu.
Bila shaka nyote ni wanafunzi!?

Wakati hii term inaishia majumbani, msijisahau.
Maana wapo watakaogoma kurudi shule muda utakapofika, kwakuwa waliowengi watakuwa wazazi watarajiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom