Bonny
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 13,370
- 29,990
...COVID-19 Ikiisha ina maana kanaingia Form Five, Bado katoto ni vema ukasaidie kiakili kipindi hiki.Nimekuwa nae sasa Miaka mitano tangu anaanza form one ila mahusiano yetu yamekuwa ya simu tu hatujawahi kukaa kitako tuyajadili mahusiano yetu na malengo yetu ni jirani yangu kila siku na muona pia najua hapa kitaa hasaliti labda shuleni kwao attention na mie ni simu anapiga sana tu ila hatuna muda hata kuongea japo nampenda na wala siwez fanya chchte pasipo yeye kutaka mie nataka attention yake nimechoka simu tu na kuwa mpenzi mtazamaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu bado mdogo huyo subiri akueNimekuwa nae sasa Miaka mitano tangu anaanza form one ila mahusiano yetu yamekuwa ya simu tu hatujawahi kukaa kitako tuyajadili mahusiano yetu na malengo yetu ni jirani yangu kila siku na muona pia najua hapa kitaa hasaliti labda shuleni kwao attention na mie ni simu anapiga sana tu ila hatuna muda hata kuongea japo nampenda na wala siwez fanya chchte pasipo yeye kutaka mie nataka attention yake nimechoka simu tu na kuwa mpenzi mtazamaji
Sent using Jamii Forums mobile app




Usicheke aisee, Jamaa kasahau kama kuna jela na huyu mtoto wa Ndalichako....
Kwa kweli ngoja nikaushe kichekoUsicheke aisee, Jamaa kasahau kama kuna jela na huyu mtoto wa Ndalichako....
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpigie simu muongee.Mzee baba mie niko mature enough na wala sihitaji ngono ila hatujawahi kukaa tukaongea mahusiano yetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wee mwenye umeendekeza urafi wakijinga... Hamna urafiki wa mwanume na mwanaumke bwana lazima uombe papuchi
Sasa si uende kwao mkae sebuleni kwao mpige hizo story na mipango unayotaka muongeeHahaaaa hapna unapo kuwa na mpenzi kuna nyakati unatakiwa muwe pamoja walau mara moja moja kwa week mtembee na muyaongelee mahusiano yenu sasa Miaka mitano tupo tu yeye busy err day na duka
Sent using Jamii Forums mobile app