Seama mama sema,endelea kutupa data,usiogope.WOS: mdada,mmama,mwalimu ,mwanafunzi yuko tayri kujifunza kushirikiana na wenzie
Seama mama sema,endelea kutupa data,usiogope.WOS: mdada,mmama,mwalimu ,mwanafunzi yuko tayri kujifunza kushirikiana na wenzie
tumsubiri Mwanakijiji atatoamajibu yote.
Jamani vipi Kuhusu BABU ATAKA KUSEMA?
Invizibo: Mlevi, mpenda vurugu, mpenda totoz
Maxence: Mvivu, mbishi,mchonganishi mpenda wake za watu.
Nikila ban wazee naomba mniombee msamaha LOLZ!Tafadhalini sana ndugu zangu. Chonde chonde!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
wanapendelea kunywa nini? nidokeze basi.waalike wanywaji mashuhuri,kaizer,xpin,Geoff,Masaki,
Tall:mpole ,muongo[/QUOTE]
hhaaaa twinushka mie staki bana aaah!!!
haya sawa.....tujuane sijui saa nagpi na wapi....uniambie basi
We kumbe humjui huyu binti: Mlevi, Mchonganishi;Mwizi wa mali ya umma,Sijasema mnafiki ila mmbea.Pretta:mpole,mpenda maendeleo,mvumilivu
Nshawahi kukuchokoza weye? Nikila ban tafwazali naomba uniombee radhi.Halafu ukiitwa mchokozi unakasirika wee biig brother wewe shauri yako mchokoze Maxence tuu utaona balaa lake
Unaogopa majitu makubwa? Sasa usukumani unakimbilia nini?na Maxence alivokuw amkubwa kama nyumba....akimwangukia biggy basi tena hata geneza hatuchongi!!!!!!!!!!!
nitafute kwenye 0683 059 726, saa saba hadi nane nina nafasi ya kutosha.
Baada ya hapo nitaingia mzigoni na nitatoka saa 11
Unaogopa majitu makubwa? Sasa usukumani unakimbilia nini?
nitafute kwenye 0683 059 726, saa saba hadi nane nina nafasi ya kutosha.
Baada ya hapo nitaingia mzigoni na nitatoka saa 11
Kiranja, tunaruhusiwa kupaste hiyo namba ya simu for my future use please????
nitafute kwenye 0683 059 726, saa saba hadi nane nina nafasi ya kutosha.
Baada ya hapo nitaingia mzigoni na nitatoka saa 11
haya ntafanya hivo...............
Kiranja, tunaruhusiwa kupaste hiyo namba ya simu for my future use please????
Mamushkaaaaa am watching!!!!!!!
Umeumia.nitafute kwenye 0683 059 726, saa saba hadi nane nina nafasi ya kutosha.
Baada ya hapo nitaingia mzigoni na nitatoka saa 11
kaizer:gongo
xpin:wanzuki
G:Komoni
wengine wasikupe shiiiiisaBHT MBEGE,1STLADY ULANZI,PEARL: FANTA BARIIIIIIID
mbege niliacha xmas wewe sinywi tena.....natumia Nguli ndogo ndogo