Hisia na hamasa za Maandamano nchini: Mapokeo, Mitazamo na Uhalisia (Viongozi na Wananchi)

Mods wa siku hizi wana kichaa,kuna sababu gani ya kuunganisha thread yangu na hii.AU NDO KUTUMIWA NA UOGA.
 
Nimatumaini yangu yakuwa kila Mtanzania anatambua kwamba kuna sikuku yetu pendwa inayosubiriwa kwa hamu sikukuu ya Muungano, Alhamisi ya 26 April 2018.

Muungano (Union) ni kitendo cha kuwa pamoja, Hivyo Watanzania tuna takiwa tuwe na uthubutu wa kuwa pamoja na kushereka kwa amani kwenye siku hii muhimu.

Watanzania tunatakiwa tuonyeshe jinsi gani tunaweza kushereheka kwa pamoja na kuonyesha yakuwa tunamchukia mtu yeyote yule anaejaribu kututenganisha either Kikanda, Kiitikadi za kisiasa ama za Kidini.

Umoja wetu katika Sherehe hizi, utadhirishia ulimwengu yakuwa Watanzania ni watu wenye kupenda furaha na wanachukia mtu yeyoyote anae wanyima furaha, Anae wadanganya, Anaewanyima ajira, Anae watekea ndugu zao, Anae waulia vijana wao, Anae wadharau na kuwapa maneno ya kebehi pale wanapopata majanga.

Watanzania wenzangu naomba tushereheke kwa Pamoja na kwa Amani ikiwezekana sikukuu hii tushereheke kwa Kubeba Vitabu vya Dini.

Tukishereheka kwa pamoja tutarudisha amani yetu, furaha yetu na Utanzania wetu kwa ujumla, tuondoe ukanda na uvyama.

Kwa mimi wa Dar ntakuwa na shereheka mitaa ya Samora Avenue, Askari monument.

Sijui wewe utapatikana wapi?
 
Nimatumaini yangu yakuwa kila Mtanzania anatambua kwamba kuna sikuku yetu pendwa inayosubiriwa kwa hamu sikukuu ya Muungano, Alhamisi ya 26 April 2018.

Muungano (Union) ni kitendo cha kuwa pamoja, Hivyo Watanzania tuna takiwa tuwe na uthubutu wa kuwa pamoja na kushereka kwa amani kwenye siku hii muhimu.

Watanzania tunatakiwa tuonyeshe jinsi gani tunaweza kushereheka kwa pamoja na kuonyesha yakuwa tunamchukia mtu yeyote yule anaejaribu kututenganisha either Kikanda, Kiitikadi za kisiasa ama za Kidini.

Umoja wetu katika Sherehe hizi, utadhirishia ulimwengu yakuwa Watanzania ni watu wenye kupenda furaha na wanachukia mtu yeyoyote anae wanyima furaha, Anae wadanganya, Anaewanyima ajira, Anae watekea ndugu zao, Anae waulia vijana wao, Anae wadharau na kuwapa maneno ya kebehi pale wanapopata majanga.

Watanzania wenzangu naomba tushereheke kwa Pamoja na kwa Amani ikiwezekana sikukuu hii tushereheke kwa Kubeba Vitabu vya Dini.

Tukishereheka kwa pamoja tutarudisha amani yetu, furaha yetu na Utanzania wetu kwa ujumla, tuondoe ukanda na uvyama.

Kwa mimi wa Dar ntakuwa na shereheka mitaa ya Samora Avenue, Askari monument.

Sijui wewe utapatikana wapi?
kama wewe unajiamini tukutane pale shubhamit
 
Nimatumaini yangu yakuwa kila Mtanzania anatambua kwamba kuna sikuku yetu pendwa inayosubiriwa kwa hamu sikukuu ya Muungano, Alhamisi ya 26 April 2018.

Muungano (Union) ni kitendo cha kuwa pamoja, Hivyo Watanzania tuna takiwa tuwe na uthubutu wa kuwa pamoja na kushereka kwa amani kwenye siku hii muhimu.

Watanzania tunatakiwa tuonyeshe jinsi gani tunaweza kushereheka kwa pamoja na kuonyesha yakuwa tunamchukia mtu yeyote yule anaejaribu kututenganisha either Kikanda, Kiitikadi za kisiasa ama za Kidini.

Umoja wetu katika Sherehe hizi, utadhirishia ulimwengu yakuwa Watanzania ni watu wenye kupenda furaha na wanachukia mtu yeyoyote anae wanyima furaha, Anae wadanganya, Anaewanyima ajira, Anae watekea ndugu zao, Anae waulia vijana wao, Anae wadharau na kuwapa maneno ya kebehi pale wanapopata majanga.

Watanzania wenzangu naomba tushereheke kwa Pamoja na kwa Amani ikiwezekana sikukuu hii tushereheke kwa Kubeba Vitabu vya Dini.

Tukishereheka kwa pamoja tutarudisha amani yetu, furaha yetu na Utanzania wetu kwa ujumla, tuondoe ukanda na uvyama.

Kwa mimi wa Dar ntakuwa na shereheka mitaa ya Samora Avenue, Askari monument.

Sijui wewe utapatikana wapi?
Mkuu tutasherehekea kwa siku ngapi? Mana pasaka ni siku 4 na eid huwa siku 2
 
Back
Top Bottom