Mstahiki Mea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 5,581
- 10,110
Neema kwa wawekezaji wote wa CRDB siku ya jana hisa moja iliuzwa kwa tsh 1510 .
Na wanaouza ni wachache , leo ipo 1580Neema kwa wawekezaji wote wa CRDB siku ya jana hisa moja iliuzwa kwa tsh 1510 .
Kwani ni mpaka mwingine auze?Na wanaouza ni wachache , leo ipo 1580
Hisa zikitolewa zinakuwa na idadi tuseme 1000 tu , sasa ili wewe uzipate ni lazima ununue kutoka kwenye hiyo idadi ya elfu moja , kama hakuna mtu anayeuza huwezi kupata ,Kwani ni mpaka mwingine auze?
Kumbe. Sikujua hilo! Kwahiyo hata kwenye kuuza ni mpaka apatikane mteja?Hisa zikitolewa zinakuwa na idadi tuseme 1000 tu , sasa ili wewe uzipate ni lazima ununue kutoka kwenye hiyo idadi ya elfu moja , kama hakuna mtu anayeuza huwezi kupata ,
Kwasasa wanunuaji ni wengi kuliko wauzajiKumbe. Sikujua hilo! Kwahiyo hata kwenye kuuza ni mpaka apatikane mteja?
wamelamba ili waongeze gawio kwa wenye hisa mkuuWameramba 40k yangu jana bila ya kujua imeenda wapi. sina haku nao kabisa
Je, kwa ushauri wako ndugu, sisi tulio na hisa huko tunaweza kuuza au tuendelee kusubiri magawio?Kwasasa wanunuaji ni wengi kuliko wauzaji
Je, kwa uzoefu wako nini kimesababisha hali hii?Hisa nyingi bei zimepanda sokoni. Hizi za CRDB na nyinginezo mpaka sasa ni overpriced
Hii yaweza kua kweli, laki wana hisa wengi pia ndio wateja wao wakubwa so hakuna shida coz n kama kutoa hela mfuko wa kushoto na kuweka kuliawamelamba ili waongeze gawio kwa wenye hisa mkuu
pole sana-crdb wanaibia wateja ili kuwaridhisha wana hisa wao
Inaoneka Mpunga mwingi mtaani. Mambo ya uchaguziJe, kwa uzoefu wako nini kimesababisha hali hii?
Asante. Hapo nimekupata. Sijui niuze hiza zangu?Msimu wa uchaguzi pesa mingi ipo mikononi mea wananchi
Inaoneka Mpunga mwingi mtaani. Mambo ya uchaguzi
Subiria Mkuu, wanunuzi bado wengi kuliko wauzaji. Nadhani bei itaendelea kupandaAsante. Hapo nimekupata. Sijui niuze hiza zangu?