Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,783
- 24,215
Kiungo wa timu ya Taifa ya Tanzania anayekipiga klabu ya El Geish ya ligi kuu ya Misri Himid Mao, akemea vikali vitendo vya shabiki au mchezaji kwenda kutoa mataulo ya makipa golini katika ligi kuu ya Tanzania.
Himid amesema vitendo hivyo si sawa katika dunia ya sasa tena kwa ligi inayoonekana kwenye televisheni
Himid amesema vitendo hivyo si sawa katika dunia ya sasa tena kwa ligi inayoonekana kwenye televisheni