HILI TUNDA ZURI JAMANi

HILI TUNDA ZURI JAMANi

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
43,037
Reaction score
34,741
1607018_455349104564719_445588238_n.jpg
 
Tunda hapo ni korosho, bibo ni kikonyo tu. Sasa sijui tamu ni nini, maana ni mbegu ya korosho ndio inaliwa na hicho kikonyo cha njano.
 
Kuna matunda mawili habo sasa unataka tutaje lipi mkuu BIBO AU KOROSHO.
 
Ha ha ha.mzizi mkavu umenikumbusha jinsi tulivyokuwa tunachora tatoo kwa mafuta ya korosho utotoni.wababe tulikuwa tunasubiri mafala wakaibe kwenye mashamba ya watu then tuje kucheza kamari.ha ha haaa.
 
Back
Top Bottom